Yanga 2-1 Biashara United | Ligi Kuu | Benjamin Mkapa

Biashara wote wameshuka chini yani wanalinda lango utafikiri wanacheza dakika za nyongeza za kipindi cha pili
 
Reactions: Lee
Kuna phyiscally vontacts hapa imetokea kati ya mayele na mchezaji wa biashara ambapo imesababisha mpira kusimama kwa muda
 
Mfungaji wa bao la biashara united anaitwa atupele

Hilo ni jina la kinyakyusa likimaanisha "ametupa"
 
Feisal kapiga booonge la shuti ila kapaza
 
Yani pale lilikua ni golden chance feisal alikua anatumbukiza mpira kambani kiwepesi sana
 
Mchezaji wa biashara james anatolewa nje baada ya kupata majeruhi
 
Saido kapokwa mpira kiufundi sana hapa
 
Juma shabani naye kafanya alichofanya feisal, kapaisha
 
Reactions: Lee
Juma shabani kasukumwa hapa karibia na penalt box ebu tuone hii freekick
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…