moody kabwe
Member
- Mar 13, 2015
- 76
- 21
kwa timu mbovu ya Yanga haiwezekan kufunga goli 3 halaf warab washindwe kufunga kabisa hilo halitatokea hata uteremshe jeshi la malaika 1000...kufunga timu mbovu za mbeya city,coast na ruvu halaf unajiona unaweza kuwafunga warabu bao tatu huo ni u.ji.nga
Tatizo lenu MMEKARIRI!