Yanga 3 Etoile 0

Yanga 3 Etoile 0

Etoile du Sahel ina mshambuliaji hatari sana, Baghdad Bounedjah, ambaye ni raia wa Algeria na ni mshambuliaji pia wa timu ya taifa ya Algeria. Jamaa anatupia kambani kama hana akili, na mwaka jana alikuwa mfungaji bora wa ligi ya Tunisia. Mwenye macho haambiwi ona


attachment.php
Yote kwa yote lakini mfungwa hachagui gereza.
Yanga 3-0 Etoile du sahel.
 
Sikulazimishi uyakubali kwakua kuna vilaza hapa wengi ila ukweli ndiyo huo wewe vaa jezy yako tu ya njano na kijani kesho kwa kujiamini kabisa mengine yatakuwa nyogeza
By kwa pamoja yanga tunaweza
Tunaomba updates
 
Nilikuepo taifa kama mwanajeshi kamili nalaza kiporo yule hatoki popote pale napinga lazima muarabu atoke mwaka huu
 
Yanga bwana ukimfunga stand coastal basi unadhani kumfunga etoile ni rahisi mkubwa huo ndio mwisho was mbwembwe zako oh yanga timu ya kimataifa so lolote so chochote
 
Yanga bwana ukimfunga stand coastal basi unadhani kumfunga etoile ni rahisi mkubwa huo ndio mwisho was mbwembwe zako oh yanga timu ya kimataifa so lolote so chochote

una maneno kama muimba taarabu.
 
Back
Top Bottom