Yanga 4-5 Villa Squad: Rekodi ya 2008/2009 isiyoimbwa na inayoweza kupotea

Yanga 4-5 Villa Squad: Rekodi ya 2008/2009 isiyoimbwa na inayoweza kupotea

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Leo nimeamua niweke katika kumbukumbu matokeo ya hii mechi ambayo hayanukuliwi mara nyingi kwa kuwa labda ilikuwa ni mechi ya mwisho katika msimu wa 2008/2009 tarehe 27/04/2009 kati ya timu ndogo ya Villa Squad iliyokuwa imeshashuka daraja dhidi ya Yanga iliyokuwa imeshanyakua ubingwa, na matokeo yoyote yasingebadilisha nafasi zao katika msimamo wa ligi.

Matokeo ya mechi hiyo yalikuwa ni Yanga 4-5 Villa Squad, yaani Villa Squad aliichapa Yanga kwa mabao 5-4.

Wafungaji wa mabao siku hiyo kwa upande wa Yanga walikuwa ni Boniface Ambani (dkk 2, 11,) Ben Mwalala (dkk 62) na Ali Msigwa (dkk 70) huku magoli ya Villa Squad yakifungwa na Idd Moshi (dkk 35, 72), Jackson Chikweta (dkk 43), Mao Haniu (dkk 78) na Chesido Mathew (dkk 80)

Si vibaya tukaitunza hii rekodi, huenda ikasaidia hapo baadaye katika mijadala kadhaa


1680545483459.png


Rejea: Tanzania (Mainland) 2008/09
 
Leo nimeamua niweke katika kumbukumbu matokeo ya hii mechi ambayo hayanukuliwi mara nyingi kwa kuwa labda ilikuwa ni mechi ya mwisho katika msimu wa 2008/2009 tarehe 27/04/2009 kati ya timu ndogo ya Villa Squad iliyokuwa imeshashuka daraja dhidi ya Yanga iliyokuwa imeshanyakua ubingwa, na matokeo yoyote yasingebadilisha nafasi zao katika msimamo wa ligi.

Matokeo ya mechi hiyo yalikuwa ni Yanga 4-5 Villa Squad, yaani Villa Squad aliichapa Yanga kwa mabao 5-4. Wafungaji wa mabao siku hiyo kwa upande wa Yanga walikuwa ni Boniface Ambani (dkk 2, 11,) Ben Mwalala (dkk 62) na Ali Msigwa (dkk 70) huku magoli ya Villa Squad yakifungwa na Idd Moshi (dkk 35, 72), Jackson Chikweta (dkk 43), Mao Haniu (dkk 78) na Chesido Mathew (dkk 80)

Si vibaya tukaitunza hii rekodi, huenda ikasaidia hapo baadaye katika mijadala kadhaa


View attachment 2575490

Rejea: Tanzania (Mainland) 2008/09
Hata 2019 FEB ile rekodi ya SIMBA "Makolokolo" kupigwa HAMSA HAMSA mara 3 na goli zingine 2( kapu la magoli 17) kwenye hatua za makundi ya CAF club champions league pia haiimbwi lakini tunaikumbuka sana tu sisi Wananchi sababu si Mbumbumbu kama Mashabiki wa Manyaunyau FC.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ndicho kilichobaki sasa hivi wanasimba wenzangu. Tuendelee kuchimbua rekodi uchwara hata za miaka ya tisini huko, angalau zitufariji. Maana hawa Yanga kwa sasa wametushika pabaya, hatuna cha kuwasema!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hata ile rekodi ya SIMBA "Makolokolo" kupigwa HAMSA HAMSA mara 3 na goli zingine 2( kapu la magoli 17) kwenye hatua za makundi ya CAF club champions league pia haiimbwi lakini tunaikumbuka sana tu sisi Wananchi sababu si Mbumbumbu kama Mashabiki wa Manyaunyau FC.
Ile mbona ya juzi tu, wala haiwezi kusahaulika, maana Simba ilipigwa 5x2 (na sio mara tatu kama unavyopotosha) lakini ikatinga robo fainali. Ni rekodi ya kipekee kabisa na imetunzwa vizuri. Na lengo la kuitunza ni kuondoa upotoshwaji, mfano huo wa Simba kufungwa jumla ya goli 17 wakati ni goli 13

1680546520567.png
 
Ndicho kilichobaki sasa hivi wanasimba wenzangu. Tuendelee kuchimbua rekodi uchwara hata za miaka ya tisini huko, angalau zitufariji. Maana hawa Yanga kwa sasa wametushika pabaya, hatuna cha kuwasema!
Achana na za uchwara, leta za uhalisi na weka viambatanisho sahihi kama link au chombo kilichoripoti, kama hivyo hapo juu
 
Hata 2019 FEB ile rekodi ya SIMBA "Makolokolo" kupigwa HAMSA HAMSA mara 3 na goli zingine 2( kapu la magoli 17) kwenye hatua za makundi ya CAF club champions league pia haiimbwi lakini tunaikumbuka sana tu sisi Wananchi sababu si Mbumbumbu kama Mashabiki wa Manyaunyau FC.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Tulete na ile yenu mlipigwa 9-3 hatua ya makundi klabu bingwa mwaka 1998? Au ulikuw hujazaliwa
 
Hata 2019 FEB ile rekodi ya SIMBA "Makolokolo" kupigwa HAMSA HAMSA mara 3 na goli zingine 2( kapu la magoli 17)
Kwa kuwa 2019 ni juzi tu, bila shaka teknolojia ya kurekodi ilikuwa ipo juu sana. Ni vyema ukazitaja hizo mechi kwa majina ya timu zilizocheza na Simba. Mimi niliyonayo inaonyesha hivi:


1680546909787.png
 
Nakuunga mkono mleta mada..naona kuna watu wakilala Simba wakiamka Simba..weka humu na ss vyura tuone..
 
Tulete na ile yenu mlipigwa 9-3 hatua ya makundi klabu bingwa mwaka 1998? Au ulikuw hujazaliwa
Hawezi kuleta, Yanga walifungwa jumla ya mabao 19 katika mechi 6 tu, ngoja nimsaidie:

1680547220234.png
 
Jana Napoli kapigwa 4 Bila na haija hatarisha nafas yake ya ubingwa coz atabeba tu.. Ingekua kwa ujinga huu na wewe ungekua Ulaya ungepost ufala kama huu wangecheka sana
 
Back
Top Bottom