Mimi ni mwana yanga . Ila nasikitika viongozi benchi la ufundi wamekalia kulalamika kuonewa.
1. Yanga mechi ya kmc waliwaacha vijana wa zanzibar bila sababu yoyote hatimae tukambulia droo. Jana team imekuja mbeya ipo robo kiasi kwamba hata sabu wameshindwa kufanya kupata plan b wachezaji wameachwa dar fei toto banka yondan juma abdul makame bila sababu za msingi ukiuliza wapo mapumzikoni zaidi ya wiki sijui ni mapumziko ya uzazi au lah.
2. Nilikuwepo uwanja team ilitaka plan b wachezaji bench hawapo , ngasa alivoingia tuliona tofauti walitajika wawili zaidi waongeze nguvu ili kuipa presha mbeya city lakini benchi zima vimejaa vitoto vya u17.
3. Mkwasa nae team nzima kajaza viungo utafikiri gemu ya simba sijui alikua anamwogopa nani. Kufanya sabu gemu iliyotumia nguvu kama ile kashindwa mpaka dk90 amebadilisha mmoja.
4. Nilisikia makamu mwenyekiti anajua fitna za soka la bongo je jana alishindweje kung'amua fitna mwisho mechi imeisha yanga kocha wachezaji wanenda mlilia mwana mama kawanyima penati. Yanga msitutanie kabisa watu wanajitoa kwa hiyo team afu uongozi na benchi mnaleta masihara.
Mwisho kwa yanga hii kama mkwasa tarehe 4 ndie kocha mi siangalii mpira mtaniletea matokeo tar6 ntawasha data. Sioni utayali wa mkwasa kuisaidia yanga zaidi ya masihara.
1. Yanga mechi ya kmc waliwaacha vijana wa zanzibar bila sababu yoyote hatimae tukambulia droo. Jana team imekuja mbeya ipo robo kiasi kwamba hata sabu wameshindwa kufanya kupata plan b wachezaji wameachwa dar fei toto banka yondan juma abdul makame bila sababu za msingi ukiuliza wapo mapumzikoni zaidi ya wiki sijui ni mapumziko ya uzazi au lah.
2. Nilikuwepo uwanja team ilitaka plan b wachezaji bench hawapo , ngasa alivoingia tuliona tofauti walitajika wawili zaidi waongeze nguvu ili kuipa presha mbeya city lakini benchi zima vimejaa vitoto vya u17.
3. Mkwasa nae team nzima kajaza viungo utafikiri gemu ya simba sijui alikua anamwogopa nani. Kufanya sabu gemu iliyotumia nguvu kama ile kashindwa mpaka dk90 amebadilisha mmoja.
4. Nilisikia makamu mwenyekiti anajua fitna za soka la bongo je jana alishindweje kung'amua fitna mwisho mechi imeisha yanga kocha wachezaji wanenda mlilia mwana mama kawanyima penati. Yanga msitutanie kabisa watu wanajitoa kwa hiyo team afu uongozi na benchi mnaleta masihara.
Mwisho kwa yanga hii kama mkwasa tarehe 4 ndie kocha mi siangalii mpira mtaniletea matokeo tar6 ntawasha data. Sioni utayali wa mkwasa kuisaidia yanga zaidi ya masihara.