Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
- Thread starter
- #21
Baada ya hapo wakaenda kuchukua taulo la golikipa,nalo pia wakalikung'uta kama wanatafuta kitu kwenye hilo taulo!Mkuu itakuwa wewe ni mshirikina. Kwa nn utoe hitimisho kuwa kwa kitendo hicho cha wachezaji wa Yanga kutikisa nyavu wanaamini ushirikina.
Kwenye mchezo wa soka labda tuseme walikuwa wanatafuta nini?Filimbi ya mwamuzi au mpira ulipotelea kwenye taulo?