Kuandika barua ya malalamiko ni haki yako ila kutuhumu kua kuna match fixing bila ushahidi, huu ni ujinga mkubwa sana wamefanyasikia tena usikie vizuri sana,hata uangalie kwa ango yoyote ile uke mpira ukikuwa 100% umeingia,pia kumbuka refa alishapuliza filimbi ya twende kati,ila baadae akageuza msimamo,kama wewe ni mjinga kaa na ujinga wako,huku unajamba ho yo,yanga imetimiza matakwa ya kikanuni,ambayo inaturuhusu,timu kutuma malalamiko,hatujakurupuka kama wewe ukivyokurupuka kama umebanwa mavi baafa ya kula kiporo cha ugali wa mhogo kutoka nakapanya,shubamiti
Simba hanaga malalamiko ya kike au ya last bornKwani jana Cairo matokeo vipi?
Labda kama ni feki ila kama ni official aisee, pale kwenye match fixing wameyatimbaau ilikuwa feki barua yao
Club hainawataalamu ,nilichoelewa kwenye bandiko nikwamba kwa kanuni za CAF mpira lazima uvuke wote na sio upande mmoja uzidiLabda kama ni feki ila kama ni official aisee, pale kwenye match fixing wameyatimba
It is match fixing well define as manipulated matchKwanza kabisa ni aibu kuandika Official letter kama ile tena kwa kuquote vifungu ambavyo ni irrelevant.
Hivi what does it mean fixing a match ?
Mnaweza kupigwa fine kupeleka tuhuma kama hizo bila evidence. Yaani hizo timu za SSC na Yanga utasema za ukoo, Hakuna brain kabisa.
Yaani mahaba ya mashabiki kwa mitandao mkaenda kuandika barua bila kufanya analysis za kutosha, mjiridhishe na hizo claim zenu msifanye vitu kwa hype ya mitandaoni, shame !
Decision ya REFA ilikuwa ni sahihi na lile sio goli, kwa mujibu wa sheria ya CAF, ili mpira uwe announced as a goal , haitakiwi portion yoyote ya mpira iguse line . Kama hata robo tatu ipo ndani ya goal na 1/4 ndio imegusa line , hilo sio goal.
Mpira uliopigwa na Staphan, portion of it ulikuwa umegusa line, japo asilimia kubwa like 85% ulikuwa upo ndani ya goal , 15% bado mpira ulikuwa nje ya line ya goal โฆ. Hivyo bado haukuwa kwenye vigezo vya kuitwa goal.
Ndio maana refa hakupoteza muda na VAR. Refa anaenda VAR endapo tu ata doubt decision yake, hamuwezi kumpangia mtu kazi kwa mpira wa kubahatisha bahatisha na kushika bomba.
Na kama mlikuwa not satisfied, mna captain angemshauri refa aende, and for sure jibu lingekuwa ni lile lile. Mnabaki kusubiria huruma. Haipo hivyo. Mnacheza na NBC , magoli yenu ya mchongo tu, na mlishawahi kufunga goli kama hilo mkaweka kati, sasa mmezoea na kujua bado mnacheza NBC, that is CAF League sio NBC!
Mmejiaibisha kuandika barua bila kufanya analysis, TATIZO PRO za SSC na Yanga zinaongozwa na Academia failures waliounga unga viuandishi wa habari diploma na vi diploma vya ukocha ndio maana hawana sense utasema wendawazimu.
View attachment 2955907
Na CAF wala hawatopoteza muda kujibu gazeti lenu ambalo ni baseless claim.
Kama kweli you deserved , you had 90min in Dar, hakukuwa na maajabu yoyote, mkaenda next 90min, hakuna cha maana. Mkapewa na 5 penalties, bado hamkutoboa, still mnaweka claim as if Yanga ni timu kubwa.
Yanga na SSC ni timu ndogo ambazo hata uhakika wa kuvuka makundi kila mwaka HAZINA.
It is a shame barua kama ile kwenda CAF na tunaaibisha taifa kwa kukosa ukomavu kwenye soka.
Mmekaa 25 years hamjui robo fainal ni nini, hamna experience ndio maana claim zimekuwa nyingi, na ule refa atawafungulia mashtaka kwa defamation mliyofanya dhidi yake ili next time muache kufanya kazi kwa hype za mitandao, mfanye kazi kwa evidence informed practice.
apewe ulinzi huyu majini yasimdhuru.
Kwa kweli..mwamba sana huyuapewe ulinzi huyu majini yasimdhuru.
filimbi alipiga ya nn ya kukataa goli au kukubali goli??๐๐........nb mm huwa sio mshabiki wa mpira ila man U tu.Mpira uliruka wakati filimbi imeshapigwa. Wenyewe hilo swali ndio mnatembea nalo
Mnaona kama mna reasoning , tatizo lenu ndio mara ya kwanza kucheza robo kutokea 98, na mmezoea NBC.
Pamoja na kelele zenu unakuta mwakani hata makundi hamtoboi
we hujielewi...Hawa Yanga huwa Wana mazoea ya hovyo sana au wanadhani kule ni NBC premier league?
Nawakumbusha nyinyi uto ๐ธ
1.mesahau mmeshawahi kufungwa goli ila refa wenu akaamuru ipigwe kona?
2.Mmesahau juzi tu dhidi ya Kagera Sugar mmefungwa goli halali kabisa ila refa wenu akasena ni offside?
3.Mmesahau msimu uliopita tu dhidi ya Namungo mlicheza faulo ya kupigiwa penalti refa wenu akajifanya hajaona, dakika hiyohiyo mlipiga counter attack mchezaji wenu akajiangusha peke yake bila kuguswa na refa wenu bila aibu akaamuru ipigwe penalti.
4.Mmeshasahau malalamiko ya Simba kuhujumiwa kwenye michuano hiyo kwa kuonewa na waamuzi mfano mzuri mechi dhidi ya Kaizer Chiefs ambapo Simba ilifungwa goli la Offside ya wazi kabisa na refa aligoma kwenda kuangalia kwenye VAR na kuamuru kuwa goli, mechi ambayo Simba ilitolewa kwa mikwaju ya Penalti na Utopolo mliishia kuikejeli Simba?
Sasa mmeonja kidogo sana tena kwa goli ambalo bado sio 100% clear, yaani lina utata lakini vilio na kelele kila mahali.
What goes around, comes around.
Mlichowafanyia wenzenu, mlichowacheka na kuwakejeli wenzenu kimewarudia, kelele na vilio viiingi utadhani soka mmeanza kuijua leo.
Unaposema "tatizo lenu" unakuwa umejiondoa objectivity; yaani unaongea kishabiki cha "nyie" against "sisi" badala ya kusema ukweli.Tatizo lenu mshazoea NBC , goli la offiside ni goli , goli nje ya mstari ni goli.
Lile sio goli hata ukienda mbinguni. Nendeni kwenye ligi yenu mtapewa goli
Hawa CAF na FIFA ukiwatuhumu kwa match fixing wanakugeuzia kibao ulete ushahidi ukishindwa unapigwa faini plus kufungiwa. Yanga wajiandae kisaikolojia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushauri wa naibu waziri...shost ake gsmm..yahaya unaishi wapii[emoji445]
Wala hakana maajabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walizoea kujikomba kwa wageni na kubebwa na tff na serikali Ila huku CAF ni katimu kadogo kalikojaa ulalamishi
Poleeee sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa wanataka mjadala mkuu uwe kuhusu goli lilikotaliwa la Yanga siyo magoli yaliyofungwa na Al-Ahly.