Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 229
- 566
Mambo vipi Wakuu!
Leo saa mbili Klabu ya Yanga, miongoni mwa klabu chache kongwe na zenye mafanikio makubwa zaidi nchini Tanzania, inashuka dimbani leo kutafuta ushindi au sare ya magoli ili isonge mbele kwenye Kombe la Shirikisho.
Nilikuwa naongea na mizimu yangu chini, naona mechi ilishaisha mapemaaaa na Young Africans tuko tunashangilia sasa hivi!
Full time.
0-1 (Ki Aziz).
Leo saa mbili Klabu ya Yanga, miongoni mwa klabu chache kongwe na zenye mafanikio makubwa zaidi nchini Tanzania, inashuka dimbani leo kutafuta ushindi au sare ya magoli ili isonge mbele kwenye Kombe la Shirikisho.
Nilikuwa naongea na mizimu yangu chini, naona mechi ilishaisha mapemaaaa na Young Africans tuko tunashangilia sasa hivi!
Full time.
0-1 (Ki Aziz).