Yanga Africa tutaishangaza Dunia leo, Ushindi lazima

Yanga Africa tutaishangaza Dunia leo, Ushindi lazima

Last Seen

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
229
Reaction score
566
Mambo vipi Wakuu!

Leo saa mbili Klabu ya Yanga, miongoni mwa klabu chache kongwe na zenye mafanikio makubwa zaidi nchini Tanzania, inashuka dimbani leo kutafuta ushindi au sare ya magoli ili isonge mbele kwenye Kombe la Shirikisho.

Nilikuwa naongea na mizimu yangu chini, naona mechi ilishaisha mapemaaaa na Young Africans tuko tunashangilia sasa hivi!

Full time.
0-1 (Ki Aziz).
 
Mambo vipi Wakuu!

Leo saa mbili Klabu ya Yanga, miongoni mwa klabu chache kongwe na zenye mafanikio makubwa zaidi nchini Tanzania, inashuka dimbani leo kutafuta ushindi au sare ya magoli ili isonge mbele kwenye Kombe la Shirikisho.

Nilikuwa naongea na mizimu yangu chini, naona mechi ilishaisha mapemaaaa na Young Africans tuko tunashangilia sasa hivi!

Full time.
0-1 (Ki Aziz).
Una kipaji cha utabiri
 
Mambo vipi Wakuu!

Leo saa mbili Klabu ya Yanga, miongoni mwa klabu chache kongwe na zenye mafanikio makubwa zaidi nchini Tanzania, inashuka dimbani leo kutafuta ushindi au sare ya magoli ili isonge mbele kwenye Kombe la Shirikisho.

Nilikuwa naongea na mizimu yangu chini, naona mechi ilishaisha mapemaaaa na Young Africans tuko tunashangilia sasa hivi!

Full time.
0-1 (Ki Aziz).
Noma sana
 
Back
Top Bottom