ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 15,265 Reaction score 29,991 Jan 10, 2021 #41 PTER said: Platinum tummepiga nne bila. Yanga tulishampiga nne pia. Nani bora kati ya Simba na Yanga ? Click to expand... Huyo Platinum kasha pigwa 5 na Yanga
PTER said: Platinum tummepiga nne bila. Yanga tulishampiga nne pia. Nani bora kati ya Simba na Yanga ? Click to expand... Huyo Platinum kasha pigwa 5 na Yanga
one one JF-Expert Member Joined May 14, 2020 Posts 332 Reaction score 372 Jan 10, 2021 #42 zanzibakwetu said: Kwani Yanga haijawahi kuingia kwenye makundi? Au mbwembwe tu , makundi yameshapangwa tutajua ubora wa kikosi Cha Simba,kwenye Ligi ya Tanzania mpaka Sasa timu Bora Ni Yanga kwani haijapoteza mchezo hata mmoja wakati mtani kapigwa michezo 2. Click to expand... Unathibitisha aichosema mtoa mada.
zanzibakwetu said: Kwani Yanga haijawahi kuingia kwenye makundi? Au mbwembwe tu , makundi yameshapangwa tutajua ubora wa kikosi Cha Simba,kwenye Ligi ya Tanzania mpaka Sasa timu Bora Ni Yanga kwani haijapoteza mchezo hata mmoja wakati mtani kapigwa michezo 2. Click to expand... Unathibitisha aichosema mtoa mada.