Yanga aibu gani hii: Naona imefungua akaunti ya kuomba michango kwa mshabiki

Yanga aibu gani hii: Naona imefungua akaunti ya kuomba michango kwa mshabiki

wewe unaona hiyo ni aibu?!?, mbona hujasema hivyo Taifa stars inapounda kamati ya saidia ishinde? Timu ina mashabiki karibu milioni6 kama unatumia akili vizuri huo si mtaji tosha???. Hebu fanya hesabu kidogo tu hawa wakihamasihwa vizuri wakajitokeza hata milioni4tu wakachangia TZS1000 kwa mwezi watakusanya TZS4Bn!!!, wakifika hapo wana haja gani na mwekezaji?!? let them try!!!!.
Alafu wewe bwana, timu ina mashabiki milions alafu unafikilia michango? Man united ina mashabiki bilion hawajafikilia hayo. Akili zetu za kiTanzania ni mzigo. Kama Yanga hawana biashara yoyote inayoweza kuwalipa kwa mtaji wa hao mashabiki milioni sita basi ni wakupuuzwa
 
Alafu wewe bwana, timu ina mashabiki milions alafu unafikilia michango? Man united ina mashabiki bilion hawajafikilia hayo. Akili zetu za kiTanzania ni mzigo. Kama Yanga hawana biashara yoyote inayoweza kuwalipa kwa mtaji wa hao mashabiki milioni sita basi ni wakupuuzwa
how was MANU in 1840something, usiione MANU ya leo ukafikiri ilianza ikiwa hivyohivyo tu. Mazingira yetu ya soka na uchumi kiujumla hayaruhusu mambo kufanyika kama England au Europe kwa ujumla wenzetu viwanja vinaingiza watu elf70 na kwa kiingilio cha paundi40 ambacho ni karibu TZS120,000/= na viwanja vinajaa, hapa wakiweka kiingilio cha TZS20,000/= sisi haohao ukiwemo wewe tutapiga kelele sana, Investors kwenye soka hawapo nchi zetu hizi kulingana na biashara zao haziwaruhusu kutapanya mapesa mpaka huko kwani haitawalipa. leo tunafurahia sana chanel za bure, hatutaki kulipia kuangalia matangazo ya TV,sasa AZAM atailipa timu kiasi gani ili apewe haki za kuonyesha mechi za timu husika?. Angalia klabu zenye mafanikio kama TP mazembe haziendeshwi kiuchumi kama MANU klabu inategemea tajiri mmoja tu!!. Kwa hiyo ndugu yangu kuendesha timu nchi hii ni ngumu sanasana, ukifananisha na MANU sio timu tu na viongozi wake ndio wabadilike ni jamii yote inahitaji kubadilika!!!!
 
Alafu wewe bwana, timu ina mashabiki milions alafu unafikilia michango? Man united ina mashabiki bilion hawajafikilia hayo. Akili zetu za kiTanzania ni mzigo. Kama Yanga hawana biashara yoyote inayoweza kuwalipa kwa mtaji wa hao mashabiki milioni sita basi ni wakupuuzwa
kwa mfano biashara nyingi sasa hivi inaenda online, he vilabu vya Tanzania vimeshafikiria kitu kama drop shipping ambapo kwa washabiki wengi hao wa Yanga ingeweza kuwafikishia bidhaa zao kirahisi sana!!
 
how was MANU in 1840something, usiione MANU ya leo ukafikiri ilianza ikiwa hivyohivyo tu. Mazingira yetu ya soka na uchumi kiujumla hayaruhusu mambo kufanyika kama England au Europe kwa ujumla wenzetu viwanja vinaingiza watu elf70 na kwa kiingilio cha paundi40 ambacho ni karibu TZS120,000/= na viwanja vinajaa, hapa wakiweka kiingilio cha TZS20,000/= sisi haohao ukiwemo wewe tutapiga kelele sana, Investors kwenye soka hawapo nchi zetu hizi kulingana na biashara zao haziwaruhusu kutapanya mapesa mpaka huko kwani haitawalipa. leo tunafurahia sana chanel za bure, hatutaki kulipia kuangalia matangazo ya TV,sasa AZAM atailipa timu kiasi gani ili apewe haki za kuonyesha mechi za timu husika?. Angalia klabu zenye mafanikio kama TP mazembe haziendeshwi kiuchumi kama MANU klabu inategemea tajiri mmoja tu!!. Kwa hiyo ndugu yangu kuendesha timu nchi hii ni ngumu sanasana, ukifananisha na MANU sio timu tu na viongozi wake ndio wabadilike ni jamii yote inahitaji kubadilika!!!!
Kumbuka hapa pia tunaiongelea yanga ambayo ipo tangu miaka 1930, usisahau hiyo. Unaiongelea yanga as if ni timu iliyoanza miaka ya 2000, tatizo lipo hapo. Sasa kama unaamini hao mashabiki wanaweza kutoa michango kwa nini usifikilie hiyo pesa unayoihitaji kwa michango usiipate kwa njia ya biashara? Yaani mnafika hatua mnashindwa kutumia media kuhamasisha watu wanunue brands za timu yenu then mnatumia same platform kuwahamasisha michango. Jibu ni moja tu, vionhozi wa hovyo, wanajua kabisa runing business inahitaji skills na hawataki kuangahika na hilo. Kukusanya michango hata machokolaa wa posta wanaweza, i doesnt need any skills na ndicho viongozi wenu wanaweza, ukizingatia sio rahisi kukagua matumizi.
 
Kumbuka hapa pia tunaiongelea yanga ambayo ipo tangu miaka 1930, usisahau hiyo. Unaiongelea yanga as if ni timu iliyoanza miaka ya 2000, tatizo lipo hapo. Sasa kama unaamini hao mashabiki wanaweza kutoa michango kwa nini usifikilie hiyo pesa unayoihitaji kwa michango usiipate kwa njia ya biashara? Yaani mnafika hatua mnashindwa kutumia media kuhamasisha watu wanunue brands za timu yenu then mnatumia same platform kuwahamasisha michango. Jibu ni moja tu, vionhozi wa hovyo, wanajua kabisa runing business inahitaji skills na hawataki kuangahika na hilo. Kukusanya michango hata machokolaa wa posta wanaweza, i doesnt need any skills na ndicho viongozi wenu wanaweza, ukizingatia sio rahisi kukagua matumizi.
unaongea fact mzee baba, wanaibisha sana wachezaji wanapowachoresha kwenye TV wakiombaomba
 
Yaani tuchangie sisi mashabiki na wanachama wa yanga alafu aibu uone wewe mbumbumbu,

ona kwanza aibu kwa timu yako iliyopigwa goli 10 katika mechi 2
 
Kumbuka hapa pia tunaiongelea yanga ambayo ipo tangu miaka 1930, usisahau hiyo. Unaiongelea yanga as if ni timu iliyoanza miaka ya 2000, tatizo lipo hapo. Sasa kama unaamini hao mashabiki wanaweza kutoa michango kwa nini usifikilie hiyo pesa unayoihitaji kwa michango usiipate kwa njia ya biashara? Yaani mnafika hatua mnashindwa kutumia media kuhamasisha watu wanunue brands za timu yenu then mnatumia same platform kuwahamasisha michango. Jibu ni moja tu, vionhozi wa hovyo, wanajua kabisa runing business inahitaji skills na hawataki kuangahika na hilo. Kukusanya michango hata machokolaa wa posta wanaweza, i doesnt need any skills na ndicho viongozi wenu wanaweza, ukizingatia sio rahisi kukagua matumizi.
Ndugu yangu nimesema yanga kama yanga ama simba haitaweza kufurukuta katika uchumi kama jamii(Society) haitaweza nayo kubadilika hata kama wajerumani wakiwasaidia kuprint hizo jezi at zero cost. kwani timu zetu hazijawahi kufanya hivyo?!?, kila siku unawasikia wanalalamika kuhusu kubumbwa kwa jezi zao, halafu kumbuka purchasing power ya mashabiki wa timu zetu,je wanauwezo wa kununua jezi hata kwa elf50? nani wangapi watakuwa na uwezo huo?, kwa nini usiwaombe mchango wa elfu mojamoja ambayo wana uwezo nayo kuliko kuwategemea kwenye kitu ambacho hawataweza?. Labda nikubaliane kwamba kuna udhaifu kwenye promotion. tukiwekeza kwenye kuziingiza klabu zetu kwenye mioyo ya mashabiki wao wakahamasika kuchangia YANGA na SIMBA zinaweza kubadilika kabisa.angalia tu mapato yatokanayo na mechi, utawalamu viongozi bure lakini watu hawana uwezo wa kulipa fee ya kuingilia viwanjani tena ukiweka kubwa ndio balaa.Hivi hata wewe nikuulize unaweza kwenda kununua jezi ya timu yoyote hapa TZ kwa USD150?, kwa sababu to cover the cost kwa brand zuri lazima bei ianzie mahali fulani sasa ni wangapi wenye uwezo huo?!?.Mimi naona Yanga wako kwenye right truck isipokuwa wainvest kwenye kuipeleka timu mioyoni mwa mashabiki wao. Hata kwa sasa timu inaendeshwa hivyo na mafanikio unayaona,ukilinganisha na timu inayopata billions kutoka kwa investor, bado yanga wana deserve pongezi. Wajameni kama tunapenda maendeleo ya soka nchi hii na wewe hapo ulipo timiza jukumu lako, si kulaumu viongozi tu.
 
Ndugu yangu nimesema yanga kama yanga ama simba haitaweza kufurukuta katika uchumi kama jamii(Society) haitaweza nayo kubadilika hata kama wajerumani wakiwasaidia kuprint hizo jezi at zero cost. kwani timu zetu hazijawahi kufanya hivyo?!?, kila siku unawasikia wanalalamika kuhusu kubumbwa kwa jezi zao, halafu kumbuka purchasing power ya mashabiki wa timu zetu,je wanauwezo wa kununua jezi hata kwa elf50? nani wangapi watakuwa na uwezo huo?, kwa nini usiwaombe mchango wa elfu mojamoja ambayo wana uwezo nayo kuliko kuwategemea kwenye kitu ambacho hawataweza?. Labda nikubaliane kwamba kuna udhaifu kwenye promotion. tukiwekeza kwenye kuziingiza klabu zetu kwenye mioyo ya mashabiki wao wakahamasika kuchangia YANGA na SIMBA zinaweza kubadilika kabisa.angalia tu mapato yatokanayo na mechi, utawalamu viongozi bure lakini watu hawana uwezo wa kulipa fee ya kuingilia viwanjani tena ukiweka kubwa ndio balaa.Hivi hata wewe nikuulize unaweza kwenda kununua jezi ya timu yoyote hapa TZ kwa USD150?, kwa sababu to cover the cost kwa brand zuri lazima bei ianzie mahali fulani sasa ni wangapi wenye uwezo huo?!?.Mimi naona Yanga wako kwenye right truck isipokuwa wainvest kwenye kuipeleka timu mioyoni mwa mashabiki wao. Hata kwa sasa timu inaendeshwa hivyo na mafanikio unayaona,ukilinganisha na timu inayopata billions kutoka kwa investor, bado yanga wana deserve pongezi. Wajameni kama tunapenda maendeleo ya soka nchi hii na wewe hapo ulipo timiza jukumu lako, si kulaumu viongozi tu.
Bosi mimi naongelea by experience, kwa kuwa unahisi hicho kitu hakiwezekani, na viongozi wanahisi hivyo vitu haviwezekani but kuna watu wanaingiza mamilioni mengi kupitia brands za hao, wale washabiki wa yanga na simba wanaovaa jezi za yanga na simba wanazinunua wapi? Inawapa faida gani? Unakumbuka mbeya city? Ilifanya uhamasishaji kununua jezi zao, walitengeneza wenyewe jezi za kutosha na ziliuzwa kama njugu na waliingiza pesa, sasa unaongelea simba na yanga? Wewe unafikili Mo anaigombania simba akiamini atapata hasara? Unaongelea purchasing power? Ya wapi unayoijua wewe, yaani sasa hivi washabiki wa yanga wananunua jersey za al haly tena og ili akaishangilie agaisnt simba, really? Ndio huyo unayemwona kama hana purchasing power? Tatizo tunaviongozi waliofeli, hawana vision.
 
how was MANU in 1840something, usiione MANU ya leo ukafikiri ilianza ikiwa hivyohivyo tu. Mazingira yetu ya soka na uchumi kiujumla hayaruhusu mambo kufanyika kama England au Europe kwa ujumla wenzetu viwanja vinaingiza watu elf70 na kwa kiingilio cha paundi40 ambacho ni karibu TZS120,000/= na viwanja vinajaa, hapa wakiweka kiingilio cha TZS20,000/= sisi haohao ukiwemo wewe tutapiga kelele sana, Investors kwenye soka hawapo nchi zetu hizi kulingana na biashara zao haziwaruhusu kutapanya mapesa mpaka huko kwani haitawalipa. leo tunafurahia sana chanel za bure, hatutaki kulipia kuangalia matangazo ya TV,sasa AZAM atailipa timu kiasi gani ili apewe haki za kuonyesha mechi za timu husika?. Angalia klabu zenye mafanikio kama TP mazembe haziendeshwi kiuchumi kama MANU klabu inategemea tajiri mmoja tu!!. Kwa hiyo ndugu yangu kuendesha timu nchi hii ni ngumu sanasana, ukifananisha na MANU sio timu tu na viongozi wake ndio wabadilike ni jamii yote inahitaji kubadilika!!!!
Hawezi kukuelewa huyo, unapoteza muda wako buree.
 
Mfumo rasim wa kuendesha klabu kama vile mfumo wa kampuni huwa hakuna mianya ya upigaji ndio maana hawataki Yanga iwe kampuni

Wanaendelea na mfumo huo wa kuomba omba ili waendele kula pesa za wajinga

Mimi Yanga lakini hata shilingi kumi sichangii maana hakuna cha maana kitacho fanyika
Aisee katika hali ya kushangaza nikiwa naona kipindi fulani kwenye TV nilishangaa kuona Yanga wamefungua akaunti kwa ajili ya kuomba watazaji michango.

Wanawachoresha wachezaji wakishawishi watazamaji angalau wawachangie huku wakijinasibu kwamba watukua wanatoa bank statement

Yanga yenye miaka zaidi ya 70 kwenye ligi lakini inasikitisha hadi Leo haina mfumo thabiti wa kujitengenezea mapato pasi kutegemea misaada.
Kwa hicho mnachokifanya kwenye TV, Yanga mnautofauti gani ni timu ndogo zilizochipukia kwa miaka ya hivi karibuni kama Biashara United, Stand United, Abajaro, Green worriors n.k hakika yanga hawana utofauti na hizo timu.

Hivi kweli mnashindwa kuibadili hiyo timu yenu iwe kampuni itakayojiendesha yenyewe kwa mfumo wa hisa? Ambapo mtaruhusu matajiri wakubwa wawekeze kwenye timu yenu kupitia wingi wa hisa.

Nje ya kutegemea gett collection tu mwekezaji hiyo atatumia brand ya yanga kufanya biashara huku mapato yanaingia kwenye clab ya Yanga, mbona yanga INA brand kubwa na mashabiki wengine ukanda huu wa A. Masharaka. Mtaacha lini haya mawazo mugando kwamba lazima clab iongozwe na kumilikiwa na wanachama?

Mfumo uliofel 100% na kuwasababishia aibu kubwa wachezaji wenu kutafuta misaada hadi ya mshahara yao kwa bakuri? Hakika ni aibu kubwa mchezaji Nina kubwa anachezea timu kubwa lakini anategemea mshahara wake aupate kupitia namba za Tigo pesa.

Kwa tangazo hili kuruhusiwa na uongozi wa Yanga, hakika uongozi huu haustahili kuwepo inatakiwa upigwe chini Mara moja licha ya hivyo mashabiki wa Yanga mkiendelea kuwaogopa kuwaambia ukweli daima mtaendelea kuitwa OMBAOMBA FC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee katika hali ya kushangaza nikiwa naona kipindi fulani kwenye TV nilishangaa kuona Yanga wamefungua akaunti kwa ajili ya kuomba watazaji michango.

Wanawachoresha wachezaji wakishawishi watazamaji angalau wawachangie huku wakijinasibu kwamba watukua wanatoa bank statement

Yanga yenye miaka zaidi ya 70 kwenye ligi lakini inasikitisha hadi Leo haina mfumo thabiti wa kujitengenezea mapato pasi kutegemea misaada.
Kwa hicho mnachokifanya kwenye TV, Yanga mnautofauti gani ni timu ndogo zilizochipukia kwa miaka ya hivi karibuni kama Biashara United, Stand United, Abajaro, Green worriors n.k hakika yanga hawana utofauti na hizo timu.

Hivi kweli mnashindwa kuibadili hiyo timu yenu iwe kampuni itakayojiendesha yenyewe kwa mfumo wa hisa? Ambapo mtaruhusu matajiri wakubwa wawekeze kwenye timu yenu kupitia wingi wa hisa.

Nje ya kutegemea gett collection tu mwekezaji hiyo atatumia brand ya yanga kufanya biashara huku mapato yanaingia kwenye clab ya Yanga, mbona yanga INA brand kubwa na mashabiki wengine ukanda huu wa A. Masharaka. Mtaacha lini haya mawazo mugando kwamba lazima clab iongozwe na kumilikiwa na wanachama?

Mfumo uliofel 100% na kuwasababishia aibu kubwa wachezaji wenu kutafuta misaada hadi ya mshahara yao kwa bakuri? Hakika ni aibu kubwa mchezaji Nina kubwa anachezea timu kubwa lakini anategemea mshahara wake aupate kupitia namba za Tigo pesa.

Kwa tangazo hili kuruhusiwa na uongozi wa Yanga, hakika uongozi huu haustahili kuwepo inatakiwa upigwe chini Mara moja licha ya hivyo mashabiki wa Yanga mkiendelea kuwaogopa kuwaambia ukweli daima mtaendelea kuitwa OMBAOMBA FC


Yanga = Watoto wa Mze Malecela, wagogo wa Jangwani (hili ndilo jina lao kwa siku hizi).
 
enyimba inaendeshwa kwa michango ya wanachama na ni bonge la timu africa, al ahly iliyowapiga hamsa inaendeshwa na wanachama, asec mimosas, canon younde, al hilal sudan zote hizo ni timu za wanachama...

yanga ni timu ya wanachama.. na imeanzishwa na wanachama.. so inapofata misingi yake.. iheshimiwe..

dewji anaibia watanzania.. anajimilikisha mashamba anakopea... nchi itauzwa hii.. analipa watanzania mshahara laki moja kwa mwezi kwenye kampuni zake...nyinyi mikia mna muona Mungu mtu... ngoja siku aje akopeee na simba iwekwe bondi iuzwe na bank... ndipo mtajua muhindi sio ndugu yako...





Aisee katika hali ya kushangaza nikiwa naona kipindi fulani kwenye TV nilishangaa kuona Yanga wamefungua akaunti kwa ajili ya kuomba watazaji michango.

Wanawachoresha wachezaji wakishawishi watazamaji angalau wawachangie huku wakijinasibu kwamba watukua wanatoa bank statement

Yanga yenye miaka zaidi ya 70 kwenye ligi lakini inasikitisha hadi Leo haina mfumo thabiti wa kujitengenezea mapato pasi kutegemea misaada.
Kwa hicho mnachokifanya kwenye TV, Yanga mnautofauti gani ni timu ndogo zilizochipukia kwa miaka ya hivi karibuni kama Biashara United, Stand United, Abajaro, Green worriors n.k hakika yanga hawana utofauti na hizo timu.

Hivi kweli mnashindwa kuibadili hiyo timu yenu iwe kampuni itakayojiendesha yenyewe kwa mfumo wa hisa? Ambapo mtaruhusu matajiri wakubwa wawekeze kwenye timu yenu kupitia wingi wa hisa.

Nje ya kutegemea gett collection tu mwekezaji hiyo atatumia brand ya yanga kufanya biashara huku mapato yanaingia kwenye clab ya Yanga, mbona yanga INA brand kubwa na mashabiki wengine ukanda huu wa A. Masharaka. Mtaacha lini haya mawazo mugando kwamba lazima clab iongozwe na kumilikiwa na wanachama?

Mfumo uliofel 100% na kuwasababishia aibu kubwa wachezaji wenu kutafuta misaada hadi ya mshahara yao kwa bakuri? Hakika ni aibu kubwa mchezaji Nina kubwa anachezea timu kubwa lakini anategemea mshahara wake aupate kupitia namba za Tigo pesa.

Kwa tangazo hili kuruhusiwa na uongozi wa Yanga, hakika uongozi huu haustahili kuwepo inatakiwa upigwe chini Mara moja licha ya hivyo mashabiki wa Yanga mkiendelea kuwaogopa kuwaambia ukweli daima mtaendelea kuitwa OMBAOMBA FC
 
Manji atarudi tu.Wapiga magoti wanaumia lakini ukisimama tu msaliti.Lazima upige magoti mpaka yatoke damu.
Ujinga uliopitiliza timu ina udhamini wa bilioni 1 wa Sports Pesa lakini mapopoma wanashindwa hata kulipa wachezaji mishahara. Hakuna mwenye akili hata ya kujiuliza!
 
Kuna mjinga anadai muhindi sio ndugu yako!
Hivi Manji msambaa?
Ujinga mwingine hauna mipaka. Kuropoka tu.
Mnayempigia magoti ni nani?
 
Tembea ukiona kikapu kinapitishwa tupia mchango wako.
Wasiliana na wenzako ili kuchangia timu yenu lakini usiulize bilioni moja ya udhamini wa Sports Pesa zinakwenda wapi?
 
Manji atarudi tu.Wapiga magoti wanaumia lakini ukisimama tu msaliti.Lazima upige magoti mpaka yatoke damu.
Ujinga uliopitiliza timu ina udhamini wa bilioni 1 wa Sports Pesa lakini mapopoma wanashindwa hata kulipa wachezaji mishahara. Hakuna mwenye akili hata ya kujiuliza!
Ngoja waendelee kuibiwa OMBAOMBA zao
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom