Yanga aibu gani hii: Naona imefungua akaunti ya kuomba michango kwa mshabiki

Yanga aibu gani hii: Naona imefungua akaunti ya kuomba michango kwa mshabiki

Aisee katika hali ya kushangaza nikiwa naona kipindi fulani kwenye TV nilishangaa kuona Yanga wamefungua akaunti kwa ajili ya kuomba watazaji michango.

Wanawachoresha wachezaji wakishawishi watazamaji angalau wawachangie huku wakijinasibu kwamba watukua wanatoa bank statement

Yanga yenye miaka zaidi ya 70 kwenye ligi lakini inasikitisha hadi Leo haina mfumo thabiti wa kujitengenezea mapato pasi kutegemea misaada.
Kwa hicho mnachokifanya kwenye TV, Yanga mnautofauti gani ni timu ndogo zilizochipukia kwa miaka ya hivi karibuni kama Biashara United, Stand United, Abajaro, Green worriors n.k hakika yanga hawana utofauti na hizo timu.

Hivi kweli mnashindwa kuibadili hiyo timu yenu iwe kampuni itakayojiendesha yenyewe kwa mfumo wa hisa? Ambapo mtaruhusu matajiri wakubwa wawekeze kwenye timu yenu kupitia wingi wa hisa.

Nje ya kutegemea gett collection tu mwekezaji hiyo atatumia brand ya yanga kufanya biashara huku mapato yanaingia kwenye clab ya Yanga, mbona yanga INA brand kubwa na mashabiki wengine ukanda huu wa A. Masharaka. Mtaacha lini haya mawazo mugando kwamba lazima clab iongozwe na kumilikiwa na wanachama?

Mfumo uliofel 100% na kuwasababishia aibu kubwa wachezaji wenu kutafuta misaada hadi ya mshahara yao kwa bakuri? Hakika ni aibu kubwa mchezaji Nina kubwa anachezea timu kubwa lakini anategemea mshahara wake aupate kupitia namba za Tigo pesa.

Kwa tangazo hili kuruhusiwa na uongozi wa Yanga, hakika uongozi huu haustahili kuwepo inatakiwa upigwe chini Mara moja licha ya hivyo mashabiki wa Yanga mkiendelea kuwaogopa kuwaambia ukweli daima mtaendelea kuitwa OMBAOMBA FC
Yanga inaendeshwa kwa hela za wanachama na mashabiki wengi. Simba inaendeshwa kwa hela za Mo peke yake.
Hadithi ya kampuni upande wa Simba ipo kwenye karatasi lakini kwenye ground sio leo wala kesho.
 
Mechi 3 pointi 2 kelele za hujuma zimeanza. Gari la barafu limekutana na jua kali.Huu ni mwanzo tu.
 
enyimba inaendeshwa kwa michango ya wanachama na ni bonge la timu africa, al ahly iliyowapiga hamsa inaendeshwa na wanachama, asec mimosas, canon younde, al hilal sudan zote hizo ni timu za wanachama...

yanga ni timu ya wanachama.. na imeanzishwa na wanachama.. so inapofata misingi yake.. iheshimiwe..

dewji anaibia watanzania.. anajimilikisha mashamba anakopea... nchi itauzwa hii.. analipa watanzania mshahara laki moja kwa mwezi kwenye kampuni zake...nyinyi mikia mna muona Mungu mtu... ngoja siku aje akopeee na simba iwekwe bondi iuzwe na bank... ndipo mtajua muhindi sio ndugu yako...
Hahaa et aiweke bond simba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe unaona hiyo ni aibu?!?, mbona hujasema hivyo Taifa stars inapounda kamati ya saidia ishinde? Timu ina mashabiki karibu milioni6 kama unatumia akili vizuri huo si mtaji tosha???. Hebu fanya hesabu kidogo tu hawa wakihamasihwa vizuri wakajitokeza hata milioni4tu wakachangia TZS1000 kwa mwezi watakusanya TZS4Bn!!!, wakifika hapo wana haja gani na mwekezaji?!? let them try!!!!.
Hii hesabu uliyopiga haina tofauti na maneno ya motivation speakers wanakupigia hesabu sijui ukifuga kuku 1000 kila kuku akataga mayai kumi sawa na mayai 10000 kila yai ni shilingi 500 utapata kiasi kikubwa cha pesa.....

Mwisho wa siku hakuna mambo marahisi kiasi hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
enyimba inaendeshwa kwa michango ya wanachama na ni bonge la timu africa, al ahly iliyowapiga hamsa inaendeshwa na wanachama, asec mimosas, canon younde, al hilal sudan zote hizo ni timu za wanachama...

yanga ni timu ya wanachama.. na imeanzishwa na wanachama.. so inapofata misingi yake.. iheshimiwe..

dewji anaibia watanzania.. anajimilikisha mashamba anakopea... nchi itauzwa hii.. analipa watanzania mshahara laki moja kwa mwezi kwenye kampuni zake...nyinyi mikia mna muona Mungu mtu... ngoja siku aje akopeee na simba iwekwe bondi iuzwe na bank... ndipo mtajua muhindi sio ndugu yako...
Kumbuka Mo hamiliki timu anamiliki hisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hesabu uliyopiga haina tofauti na maneno ya motivation speakers wanakupigia hesabu sijui ukifuga kuku 1000 kila kuku akataga mayai kumi sawa na mayai 10000 kila yai ni shilingi 500 utapata kiasi kikubwa cha pesa.....

Mwisho wa siku hakuna mambo marahisi kiasi hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
washauri kilicho rahisi kufanya wafanye!!!
 
Back
Top Bottom