Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Japo Mimi ni mchambuzi na sina timu kama kawaida yetu ila leo naomba ku-declare my interest kwa kuipa ushindi Yanga Kwa kosi zito walilonalo wananchi. Ni zito kucheza na Simba, naona Simba wataelemewa from the beginning hivyo kupigwa mvua ya goli.
[emoji23][emoji23]Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani[emoji23][emoji23]
Soma Pia: Yanga SC VS Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024
Utabiri wangu: Yanga 4 - 0 Simba
NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.
[emoji23][emoji23]Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani[emoji23][emoji23]
Soma Pia: Yanga SC VS Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024
Utabiri wangu: Yanga 4 - 0 Simba
NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.