Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya mtungo wa watu 5.Mambo Gani mkuu
Kumbe na Wewe ni Mchambuzi? Nilikuwa sijui.....!!Nimeomba nipigwe bani Kwasababu ni kama nitakuwa nimeaibisha taaluma yangu ya uchambuzi
Mfano
Japanese samurai wanajiua wenyewe Baada ya kufanya makosa ( accountable) with negative results from mission
Hyo taaluma yako ya uchambuzi umeisomea wapi,Nimeomba nipigwe bani Kwasababu ni kama nitakuwa nimeaibisha taaluma yangu ya uchambuzi
Mfano
Japanese samurai wanajiua wenyewe Baada ya kufanya makosa ( accountable) with negative results from mission
Kwa kukusaidia simba hachezi leo tarehe 8 ,simba anacheza tarehe 9, Aya Njoo na utabiri wako mpya wa tarehe 9 siyo tarehe 8Japo Mimi ni mchambuzi na sina timu kama kawaida yetu ila leo naomba ku-declare my interest kwa kuipa ushindi Yanga Kwa kosi zito walilonalo wananchi. Ni zito kucheza na Simba, naona Simba wataelemewa from the beginning hivyo kupigwa mvua ya goli.
[emoji23][emoji23]Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani[emoji23][emoji23]
Utabiri wangu: Yanga 4 - 0 Simba
NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.
Hakuna matata.Japo Mimi ni mchambuzi na sina timu kama kawaida yetu ila leo naomba ku-declare my interest kwa kuipa ushindi Yanga Kwa kosi zito walilonalo wananchi. Ni zito kucheza na Simba, naona Simba wataelemewa from the beginning hivyo kupigwa mvua ya goli.
[emoji23][emoji23]Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani[emoji23][emoji23]
Utabiri wangu: Yanga 4 - 0 Simba
NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.
Yaani Messi afundishwe Mpira na Msuva?It's my professional....pia nafundisha ukihitaji
Japo Mimi ni mchambuzi na sina timu kama kawaida yetu ila leo naomba ku-declare my interest kwa kuipa ushindi Yanga Kwa kosi zito walilonalo wananchi. Ni zito kucheza na Simba, naona Simba wataelemewa from the beginning hivyo kupigwa mvua ya goli.
[emoji23][emoji23]Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani[emoji23][emoji23]
Utabiri wangu: Yanga 4 - 0 Simba
NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.
Kaa kwa kutulia na uchawambuzi wakoJapo Mimi ni mchambuzi na sina timu kama kawaida yetu ila leo naomba ku-declare my interest kwa kuipa ushindi Yanga Kwa kosi zito walilonalo wananchi. Ni zito kucheza na Simba, naona Simba wataelemewa from the beginning hivyo kupigwa mvua ya goli.
[emoji23][emoji23]Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani[emoji23][emoji23]
Soma Pia: Yanga SC VS Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024
Utabiri wangu: Yanga 4 - 0 Simba
NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.