Yanga akifungwa nipigwe ban

Yanga akifungwa nipigwe ban

Ushabiki wa mpira na utani wake siyo uadui mkuu. Lengo ni burudani na siyo vinginevyo


Nimenukuu maneno ya
1. Haji manara
2. Luke Emrey.
3. Na VITABU vya KIHISTORIA.

Pia tunaangalia na Nyuzi ambazo zinaanzishwa na mashabiki wengi WA Yanga mfano
Laban Og
Nalia Ngwema.

Ndipo tunaprove kwamba Hawa akina Haji na Luke na VITABU hawakuropoka ilikuwa ni Kweli.

Na MANENO YAO YANAZIDI KUISHI
 
Yupo wapi luc eym....?

Amekuwa South Africa kama Coach
Nadhani atakuwa Huko.

Mala ya mwisho alioshtaki yanga FIFA Alikuwa anaidai mamilioni.

Nusura yanga wafungiwe Kusajili.

Ila ametuachia Neno Kali sana mashabiki WA Yanga.
LUC EYMAEL ALISEMA.

"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Amekuwa South Africa kama Coach
Nadhani atakuwa Huko.

Ila ametuachia Neno Kali sana mashabiki WA Yanga.
LUC EYMAEL ALISEMA.

"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
Sawa Mwambie manyani yanatandaza soka safi kabisaaa
 
Si ndio dk ya kwanza sioni yanga leo inakufa nguvu zao nyingi wamezipoteza kwenye mechi ya mabingwa wa africa mashariki baada ya kuwaza game yao na lambalamba fei toto Ana goli litaombatana na kadi nyekundu kwakwe
 
Mabingwa watetezi na wataalamu wa kutandaza soka safi, soka burudani nk watakuwepo uwanjani leo kupigania point 3 muhimu dhidi ya Azam wanalambalamba.

Bila kupapasa nasema leo Azam anafungwa za kutosha na iwapo Yanga ikifungwa basi nipigwe Ban.

Mwanambarali.
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa
 
Si ndio dk ya kwanza sioni yanga leo inakufa nguvu zao nyingi wamezipoteza kwenye mechi ya mabingwa wa africa mashariki baada ya kuwaza game yao na lambalamba fei toto Ana goli litaombatana na kadi nyekundu kwakwe

Mkuu ulikuwa ndotoni bilashaka umeamka sasa
 
Amekuwa South Africa kama Coach
Nadhani atakuwa Huko.

Mala ya mwisho alioshtaki yanga FIFA Alikuwa anaidai mamilioni.

Nusura yanga wafungiwe Kusajili.

Ila ametuachia Neno Kali sana mashabiki WA Yanga.
LUC EYMAEL ALISEMA.

"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
Alipoongea hayo maneno unayoyanukuu ile Timu ya SA ilivunja mkabata nae kwa kutoa maneno ya kibaguzi kwa watu weusi wewe unaendelea kuyatumia akiambiwa maneno yeyote mtu mweusi jua na wewe upo kundi hilo hilo ila ni mpaka uwe na baadhi ya miguu ndio utaelewa hili...
 
Back
Top Bottom