Wewe ni mamluki tuBaggers cant be choosers la sivyo wajidhanini. Yanga timu yangu ila wakileta mdomo juu ya rangi sijui vitu gani nitashangaa sana nyakati hizi
Wewe ndo inavikuza ambaye kila muda unaleta uzi kuhusu Twiga, wakati mjadala ulisha isha na twiga mwenyewe amekubali kuwa mweusiVitu vidogo Ila wanavikuza
Kanuni zilizowekwa ili zivunjweMkuu twiga habadilishwi vile vile kanuni haibadilishwi
Yanga kila akishiriki Caf Champions wale jamaa logo yao ni nyekundu na Wananchi wanaivaa bila shaka!