Yanga amkeni, Mchuzi wa Mbwa hunywewa ukiwa bado Wamoto

Yanga amkeni, Mchuzi wa Mbwa hunywewa ukiwa bado Wamoto

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Kama ambavyo tayari imeshajulikana kwamba mwaka huu tuzo nyingi zitaenda Yanga (winner takes all)
Viongozi, mashabiki na wapenzi wa Yanga Afrika kataeni huu uhuni unaotaka kufanywa na Tff kwani waathirika wakubwa wa kusogezwa mbele kwa izo tuzo ni nyie..

Hebu jaribuni kuwaza nje ya box, wakati wa izo mechi za ufunguzi wa ligi ( ngao ya jamii) mkipoteza mechi iyo ya ufunguzi labda dhidi ya mtani wenu Simba na yeye ndio akabeba iyo ngao ya ufunguzi wa ligi, hizo tuzo zenu zitakuwa na maana gani?

Yaani mtapata wapi ujasiri wakushangilia tuzo za msimu ulioisha wakati wenzenu tayari wameanza kuvaa medali za ushindi wa msimu mpya ulioanza?

Pia endapo Aziz Ki atakuwa ameondoka Yanga na kusajiliwa na timu nyingine, je mtaweza kuhoji maamuzi ya Tff kumpa u MVP mchezaji mwingine tofauti na Aziz Ki? Kwa maana wakati huo mtakuwa mnamtetea mchezaji asiye mchezaji wenu?

TFF sio wapumbavu kupeleka mbele utoaji wa tuzo, wana agenda ya siri...

Shauri yenu, babu onyango ndio nimeshawasanua hivyo
 
Kama ambavyo tayari imeshajulikana kwamba mwaka huu tuzo nyingi zitaenda Yanga (winner takes all)
Viongozi, mashabiki na wapenzi wa Yanga Afrika kataeni huu uhuni unaotaka kufanywa na Tff kwani waathirika wakubwa wa kusogezwa mbele kwa izo tuzo ni nyie..

Hebu jaribuni kuwaza nje ya box, wakati wa izo mechi za ufunguzi wa ligi ( ngao ya jamii) mkipoteza mechi iyo ya ufunguzi labda dhidi ya mtani wenu Simba na yeye ndio akabeba iyo ngao ya ufunguzi wa ligi, hizo tuzo zenu zitakuwa na maana gani??

Yaani mtapata wapi ujasiri wakushangilia tuzo za msimu ulioisha wakati wenzenu tayari wameanza kuvaa medali za ushindi wa msimu mpya ulioanza??

Pia endapo Aziz Ki atakuwa ameondoka Yanga na kusajiliwa na timu nyingine, je mtaweza kuhoji maamuzi ya Tff kumpa u MVP mchezaji mwingine tofauti na Aziz Ki? Kwa maana wakati huo mtakuwa mnamtetea mchezaji asiye mchezaji wenu?

TFF sio wapumbavu kupeleka mbele utoaji wa tuzo, wana agenda ya siri...

Shauri yenu, babu onyango ndio nimeshawasanua hivyo
Andamana uvunjwe uti wa mgongo.
 
ila GONGOWAZI sijui huwa mnawaza nini? Majuzi tu TFF wamebatilisha mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB badala ya kuchezwa Manyara kama ilivyokuwa imepangwa awali sasa itachezwa Zanzibar. Sijasikia mkijilizaliza na wengi wenu mmefurahia maamuzi hayo. Ila hili la tuzo kusogezwa mbele hamlitaki mchana kutwa usiku kucha kujilizaliza.
 
ila GONGOWAZI sijui huwa mnawaza nini? Majuzi tu TFF wamebatilisha mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB badala ya kuchezwa Manyara kama ilivyokuwa imepangwa awali sasa itachezwa Zanzibar. Sijasikia mkijilizaliza na wengi wenu mmefurahia maamuzi hayo. Ila hili la tuzo kusogezwa mbele hamlitaki mchana kutwa usiku kucha kujilizaliza.
Wanadeka sana hao mazuzu
 
Ngao ya jamii yanga atacheza na azam fc
Mkuu km umefatilia msimu huu ulioisha, ngao ya Jamii Yanga ambaye alikuwa bingwa wa ligi alicheza na mshindi wa tatu ambaye alikuwa Azam, na Simba ambaye alishika nafasi ya pili alicheza na Singida big stars ambaye alikuwa wa nne
 
ila GONGOWAZI sijui huwa mnawaza nini? Majuzi tu TFF wamebatilisha mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB badala ya kuchezwa Manyara kama ilivyokuwa imepangwa awali sasa itachezwa Zanzibar. Sijasikia mkijilizaliza na wengi wenu mmefurahia maamuzi hayo. Ila hili la tuzo kusogezwa mbele hamlitaki mchana kutwa usiku kucha kujilizaliza.
Hizi tuzo haziwahusu mbumbumbu, kwaio huna haja yakuchangia huu uzi
 
Back
Top Bottom