Yanga amkeni, Mchuzi wa Mbwa hunywewa ukiwa bado Wamoto

9 Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
Wafilipi 2:9

10 ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
Wafilipi 2:10

11 na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
Wafilipi 2:11
 
Siyo hivyo tu MVP Ina muongezea CV mchezaji huko anakokwenda, TFF wamelenga kuinyanyasa yanga na siyo vinginevyo Hawa TFF wanaahirisha kufikiri kwa nafsi kwaajili ya masilahi yao binafsi,ama kutumikia kundi Fulani, (suspending their individual reasoning because of group objectives),thus conflict of interest
 
Kwa nini imekuwa ghafla hivi? Kuna mtu nimesoma comment yake anasema mbona fainali zimehamishwa kutoka Babati kwenda Zanzibar na watu wamefurahi. TFF wanafanya makosa mengi ya kimsingi katika mpira wa Tanzania ila bahati nzuri wanabebwa na uwepo wa Simba na Yanga. Suala la tuzo siyo dharula mpaka ipelekee kukiuka kanuni walizo jiwekea.
 
Asubuhi? Dunia haiko sawa mkuu, wakati we unaamka wengine ndio tunajiandaa kula chakula cha jion
ndio madhara ya kula ugali asubuhi, upo Tandale na time zone ni moja Tanzania nzima
 
Watu wa jukwaa la mapenzi mkija huku hua mnakua wapuuzi sana..Zipo nyuz lukuki humu kulalamika swala la Fainali kupelekwa zanzibar usikurupuke rudi huko Jukwaa lenu la kula Tunda kimasihara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…