Yanga anaweza kuchukuwa kombe ili la shirikisho

Yanga anaweza kuchukuwa kombe ili la shirikisho

Mmhhhh sasa hapa huongei ki sport..umeanza kuongea kimbumbumbu...Anyway hata hivyo mi sio mjuzi sasa acha waje wenye yanga yao..mi ni mpenz wa kawaida tuu wa soka
Utakuwa mshabiki wa utopolo maana hao huwa ni mbumbuu na huwafananisha wenzao kama ni mbumbuu wenzao.
Yanga ameshinda goli mbili tena nyumba unasema Yanga yupo vizuri?
Angempiga nje ndani sawa. Yanga akiwa away ni mbovu sana 100%. Uhakika wa kushinda mechi yanga akiwa away 0.5%
 
Yanga tusilewe sasa.Kwel timu iko vyedi ila sio kwa kujipa matumaini haya namna hii.
Tuwe na kiasi.
Hapa tu kupita kwenda robo bado tuko mguu nje mguu ndani hati hati...lolote laweza kutokea
Yanga Wana uwezo wa kufika nusu
 
Usiwe na akili ya kukariri, Monastir ambaye ndiye anayeongoza kundi la Yanga na ambaye ndiye timu iliyomtoa bingwa mtetezi (Berkane) katika mashindano, imeshindwa kumfunga Bamako nje ndani. Monastir walitanguliwa ila wakaja kuchomoa goli na mechi kuisha sare.

Kitu cha pili ni kwamba Yanga hakuwa na utamaduni wa kufanya vizuri akiwa nyumbani, huo utamaduni alikuwa nao Simba wa kutegemea kuwa utakuja nawewe kwetu utaona. Yanga walimtoa Club African nyumbani kwake huko huko. Bamako kaponea chupu chupu kufungwa kwake kasawazisha dakiks za mwisho.

Kama unafatilia mpira utaona kuna kitu kinaenda kutokea mbeleni, endapo hakutakuwa na mvurugano wa kuondoka wachezaji muhimu na benchi la ufundi la Yanga na kufanya maingizo machache tu, Yanga inaenda kutengeneza ufalme wake katika michuano ya kimataifa. Timu zinachozeza na Yanga zinacheza kwa nidhamu kubwa na kuwa wanyonge na kusubiria counter attack hata wakiwa majumbani kwao. Ni wakati tu wa Yanga kujiimarisha katika mapungufu machache waliokuwa nayo. Kwenye performance ipo vizuri ni swala la kujiimarisha katika umakini tu (ushambuliaji na ulindaji)
Muache kufananisha club bingwa na shirikisho.
Muziki wa club bingwa muulize Yanga atakupa majibu vizuri. Club bingwa wanacheza wanaume tu
 
Utakuwa mshabiki wa utopolo maana hao huwa ni mbumbuu na huwafananisha wenzao kama ni mbumbuu wenzao.
Yanga ameshinda goli mbili tena nyumba unasema Yanga yupo vizuri?
Angempiga nje ndani sawa. Yanga akiwa away ni mbovu sana 100%. Uhakika wa kushinda mechi yanga akiwa away 0.5%
Sasa mkuu mbona nime declare interest mapema kwamb mi ni mdau wa Yanga hapo juu!!?
Ila wewe huongei ki sport kabisaa tatizo.
Termnilogies kama
kombe la loosers hii sio sawa.
Kusema Yanga ni mbovu away wakat katimba group stage kwa kishindo tunisia kwa kucheza mpira safi na ushindi hili mwanamichezo yoyote hawez kukuelewa...

Punguza jazba na mahaba..
 
Amfunge Monastir hapa Dar kwa goli mbili au zaidi,
Kuwafunga TP Mazembe na Bamako mshajiona mabingwa?
Na Simba iliyomfunga Al Ahly na JS Saora, timu bora kabisa za kiarabu waseme nini?
Js saora ni timu Bora ya kiarabu!?..anyway,Al ahl kishafungwa na yanga hapo kwa mkapa kabla Simba hajaonja ushindi kwa ahliy
 
Muache kufananisha club bingwa na shirikisho.
Muziki wa club bingwa muulize Yanga atakupa majibu vizuri. Club bingwa wanacheza wanaume tu
Usitoke kwenye hoja yako. Hoja yako ni Yanga kushindwa kufanya vizuri away na pia kushindwa kumfunga nje ndani Bamako. Nimekupa majibu, sasa jibu kulingana na tunachojadili. Usikimbie hoja
 
Kisa tu ...Mmeifunga Mazembe Aliyetolewa Na Vipers.... Vipers ambaye huko aliko CL anapigwa Kama Ngoma...!

Kwa Kweli mnaigilizia Vizuri Mwaka huu kutoka kwa Simba,Sasa Nyie endeleeni Kudesa Kwa Timu Kubwa Simba Jinsi Ya Kuenenda..! Acheni Kuchonga.!
Unamsifu Vipers kwa kumfunga TP Mazembe na Vipers kufungwa na Simba. Sasa Yanga anamtoboa Mikia FC, Pusha FC, Punda FC, Bwimbwi FC toka 2021, umeipata derivative hiyo?
 
Yanga Wana uwezo wa kufika nusu
Ni kweli uwezo upo so kilichobaki kuonyesha uwezo twenzetu mbele..Timu iko vizuri ila mleta uzi anasema kuchukua shirikisho!!!dah hii ngumu kidogo
 
Ni kweli uwezo upo so kilichobaki kuonyesha uwezo twenzetu mbele..Timu iko vizuri ila mleta uzi anasema kuchukua shirikisho!!!dah hii ngumu kidogo
Pyramid,fa Rabat ni vikwazo
 
Yanga Wana uwezo wa kufika nusu
Mbona kwenye title umesema wana uwezo wa kuchukua kombe, sasa iweje tena useme kufika nusu fainali? Umeshtuka nini? Tena umesema kabisa 'kuchukuwa', sio 'kuchukua'
 
Mbona kwenye title umesema wana uwezo wa kuchukua kombe, sasa iweje tena useme kufika nusu fainali? Umeshtuka nini? Tena umesema kabisa 'kuchukuwa', sio 'kuchukua'
Mimi ni mtoa mada!?..mwana lizombe ushalewa jua Kali hivi!!
 
Timu ipi ya sauzi ipo shirikisho!?..south hakuna mpira siku hizi zaidi ya mamelod
Unafikiri South Afrika tumewazidi mpira?
Hapa Tanzania tuna timu mbili tu Simba na Yanga. Hapo huoni km tupo sawa?
 
Ni kweli uwezo upo so kilichobaki kuonyesha uwezo twenzetu mbele..Timu iko vizuri ila mleta uzi anasema kuchukua shirikisho!!!dah hii ngumu kidogo
Shida ya Yanga akiwa away kushinda mechi ni 0.5%
Kwenye shirikisho, mechi ngapi ameshinda akiwa away?
Jitahidini msimu ujao, mcheze club bingwa. Muache kucheza vikombe vya wazembe
 
Timu itafika mbali ila bado naziona timu ngumu zipo katika mashindano kama... AS Far Rabat, Usm Alger, Pyramids ,
 
Shida ya Yanga akiwa away kushinda mechi ni 0.5%
Kwenye shirikisho, mechi ngapi ameshinda akiwa away?
Jitahidini msimu ujao, mcheze club bingwa. Muache kucheza vikombe vya wazembe
Sawaa..ingawa hata mwaka huu Yanga kacheza club bingwa!!
 
Back
Top Bottom