Yanga anaweza kupoteza point, je wapinzani wao simba wanaweza kutokupeteza?

Yanga anaweza kupoteza point, je wapinzani wao simba wanaweza kutokupeteza?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Ligi ya bongo bingwa anaanza kuonekana mapema mno, watu wa mpira walishajua bingwa wa msimu huu ni nani.

Kuiombea mabaya Yanga apoteze sio sababu je akipoteza simba anaweza kuendeleza ushindi msimu mzima? Jibu ni HAPANA.

Yanga anaweza poteza point hata 6 walingane na simba lakini bado atachukua ubingwa tu, simba timu yake ni dhaifu mnoo mzamiru ambaye mwaka mmoja nyuma mashabiki walikua hawamtaki sasahivi ndio tegemeo asipokuwepo ni stress maana hakuna mbadala.

Kikosi cha simba kuanzia namba 2 mpaka namba 11 wamechoka mnoo kikosi ni kidogo hawawezi kushinda kwa muendelezo uleule.

Simba katoka kudraw, atashinda game mbili au tatu mfululizo then ana draw.

Tusiombee mabaya yanga, lakini tujikite kusuka kikosi cha ushindani.
 
Simba walishakosea tangu msimu una anza, walisajili vibaya na damage yake ni kubwa.

Azam wamejitahidi ila kunakitu hakipo sawa kwenye timu ila Sijajua ni kitu gani.

Yanga wataendelea kutawala mpira wa bongo labda Azam waweke mambo Yao sawa.
 
Simba walishakosea tangu msimu una anza, walisajili vibaya na damage yake ni kubwa.
Azam wamejitahidi ila kunakitu hakipo sawa kwenye timu ila Sijajua ni kitu gani.
Yanga wataendelea kutawala mpira wa bongo labda Azam waweke mambo Yao sawa.
Msimu huu simba amefeli, yanga atachukua msimu hujao pia ndio atamuachia simba
 
Simba walishakosea tangu msimu una anza, walisajili vibaya na damage yake ni kubwa.
Azam wamejitahidi ila kunakitu hakipo sawa kwenye timu ila Sijajua ni kitu gani.
Yanga wataendelea kutawala mpira wa bongo labda Azam waweke mambo Yao sawa.
Kwa hyo yanga ndio wamesajili vizuri kina bigirimana wote na kambole si magarasa tu pamoja na kisinda ushabiki mbaya sana
 
Hao uliowataja hata wasipocheza Yanga ina uhakika wa matokeo + kwa asilimia 80%
Yanga wanajificha kwenye kivuli cha simba ila ni mbovu kuliko simba sio lazima uamini subiri tp mazembe ana majibu ya maswali yote January sio mbali wachezaji wazito kama nanga
 
Yanga wanajificha kwenye kivuli cha simba ila ni mbovu kuliko simba sio lazima uamini subiri tp mazembe ana majibu ya maswali yote January sio mbali wachezaji wazito kama nanga
Simba wanajificha kwenye kivuli kipi? Au ndio vile Makundi Club bingwa/ Chama na hili la sasa Fei kwenda Azam?.... Yanga kwasasa kwa timu za ndani ni bora kuliko timu yoyote ile takwimu zinambeba mengine ni utabiri/ dua la kuku
 
Simba wanajificha kwenye kivuli kipi? Au ndio vile Makundi Club bingwa/ Chama na hili la sasa Fei kwenda Azam?.... Yanga kwasasa kwa timu za ndani ni bora kuliko timu yoyote ile takwimu zinambeba mengine ni utabiri/ dua la kuku
[emoji28][emoji28] hizi kelele zote amesababisha zalan subirini mje kula hamsa hamsa mrudi avic town mkalale
 
[emoji28][emoji28] hizi kelele zote amesababisha zalan subirini mje kula hamsa hamsa mrudi avic town mkalale
Na Club Africa ya Tunis...
Nbc huku vip ? hutaki mjadala
 
Kwa hyo yanga ndio wamesajili vizuri kina bigirimana wote na kambole si magarasa tu pamoja na kisinda ushabiki mbaya sana
Yanga Kuna sajili zime feli ila wao walisha Jenga timu wanachofanya ni kuongeza Quality tu, Simba kwenye kuongeza Quality ndio walipo feli katika walio ongezwa nafikiri Okra ndie mtamu ila wengine hawajafanya vizuri.
Simba Kuna baadhi ya maeneo kwenye first eleven hawaja fikia standard Yao na wanao Baki bench ni majanga tu.

Kimataifa Yanga si kama wanatimu mbovu ila Wana viongozi wapya na vijana na wamekosa uzoefu wa kupambana nje ya uwanja, uko ndio Kuna mambo mengi sana.

Baada ya Makundi ya Msimu huu, Uongozi wa Yanga utapata uzoefu wa kutosha kimataifa.
 
Back
Top Bottom