Yanga apangwa na Pyramid ya Egypt kwenye CAF Confederation

Yanga apangwa na Pyramid ya Egypt kwenye CAF Confederation

Hahhaha pacha tunashukuru sanaa, lkn nahisi waweza kutudumbukiza mtaroni ww hahaha
Hahahaaaa. Lol.

Nitawafikisha salama kabisa Pacha hofu ondoa kabisaaaaa.

#ilatabiambayahiyopacha.
 
Basi pacha nitakusapoti usijali ni kwa sabab yako tu lkn sijui sasa ukifungwa sijui ntaendelea kukusapoti sijui nitajiunga na wale daaa mtihani huu jaman
Najua Pyramids wakipata bao ni lazima utashangilia tu Pacha. 😀😀
 
Hahahaaaa. Lol.

Nitawafikisha salama kabisa Pacha hofu ondoa kabisaaaaa.

#ilatabiambayahiyopacha.
😭😭😭😭😭😭😭basi nimeacha tabia mbaya pacha hahaha nisamehe nmekuahidi nitakusapoti mtoto mzuri usijali
 
Sawa imebahatisha kucheza na timu kubwa kama yanga...tarehe 27 ndo itafahamika nani mkubwa nani mdogo..kama hujui bei ya mchezaji mmoja wa pyramid unanunua timu yote ya yanga na kulipa yale madeni ya kina dante
😀 😀 😀 😀 Mwaka huu utateseka sana Mtani.
 
Back
Top Bottom