PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Weka mpunga utakuja kunishukuruKwahiyo niweke jamvi mkuu
Hivi kwanini mechi ya Yanga vs Al Hilal imekuwa inazungumzwa sana humu? Kila nyuzi Yanga kufungwa, Yanga kufungwa. Hii inaonesha ni jinsi gani watu wamekuwa na shauku ya kuiona Yanga inafungwa kwenye mechi ya kimashindanoMechi itaanza kwa Yanga kutangulia kupata bao, jamaa watafanya come back na ku level score board.
Jamaa watapiga chuma cha pili na cha tatu. Badae watapiga chuma cha nne ila itkuwa off side. Mwishoni ubao utasoma Yanga 1- Alhilal 3.
Wanangu wa jangwani tujiandae kupindua meza kibabe.
Baada ya mechi tutaurudia huu uzi
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Hali kama hii inaonyesha Ki saikolojia Mbumbumbu fc wamesha kata tamaa, wanaona Yanga imesha pitisha mwaka mzima bila kufungwa Sasa hasira zinakua juu.Hivi kwanini mechi ya Yanga vs Al Hilal imekuwa inazungumzwa sana humu? Kila nyuzi Yanga kufungwa, Yanga kufungwa. Hii inaonesha ni jinsi gani watu wamekuwa na shauku ya kuiona Yanga inafungwa kwenye mechi ya kimashindano
Mechi itaanza kwa Yanga kutangulia kupata bao, jamaa watafanya come back na ku level score board.
Jamaa watapiga chuma cha pili na cha tatu. Badae watapiga chuma cha nne ila itkuwa off side. Mwishoni ubao utasoma Yanga 1- Alhilal 3.
Wanangu wa jangwani tujiandae kupindua meza kibabe.
Baada ya mechi tutaurudia huu uzi
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Rage siyo mjinga! Aliwaza mbali sana kwa kuwaita mashabiki wa aina hii mbumbumbu!Hivi kwanini mechi ya Yanga vs Al Hilal imekuwa inazungumzwa sana humu? Kila nyuzi Yanga kufungwa, Yanga kufungwa. Hii inaonesha ni jinsi gani watu wamekuwa na shauku ya kuiona Yanga inafungwa kwenye mechi ya kimashindano
Uchawi wa Kolo kama KoloMechi itaanza kwa Yanga kutangulia kupata bao, jamaa watafanya come back na ku level score board.
Jamaa watapiga chuma cha pili na cha tatu. Badae watapiga chuma cha nne ila itkuwa off side. Mwishoni ubao utasoma Yanga 1- Alhilal 3.
Wanangu wa jangwani tujiandae kupindua meza kibabe.
Baada ya mechi tutaurudia huu uzi
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Tunza hii..!! Na hilo moja la Yanga atafunga nani?Mechi itaanza kwa Yanga kutangulia kupata bao, jamaa watafanya come back na ku level score board.
Jamaa watapiga chuma cha pili na cha tatu. Badae watapiga chuma cha nne ila itkuwa off side. Mwishoni ubao utasoma Yanga 1- Alhilal 3.
Wanangu wa jangwani tujiandae kupindua meza kibabe.
Baada ya mechi tutaurudia huu uzi
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Wameishindwa Yanga ndani, hasa Mayele anapotetema..!! We angalia jinsi walivyoshangilia kiatu cha George Mpole, unaweza dhani alikuwa ni mchezaji wa Simba..!!Hivi kwanini mechi ya Yanga vs Al Hilal imekuwa inazungumzwa sana humu? Kila nyuzi Yanga kufungwa, Yanga kufungwa. Hii inaonesha ni jinsi gani watu wamekuwa na shauku ya kuiona Yanga inafungwa kwenye mechi ya kimashindano