PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Mechi itaanza kwa Yanga kutangulia kupata bao, jamaa watafanya come back na ku level score board.
Jamaa watapiga chuma cha pili na cha tatu. Badae watapiga chuma cha nne ila itkuwa off side. Mwishoni ubao utasoma Yanga 1- Alhilal 3.
Wanangu wa Jangwani tujiandae kupindua meza kibabe.
Baada ya mechi tutaurudia huu uzi.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Jamaa watapiga chuma cha pili na cha tatu. Badae watapiga chuma cha nne ila itkuwa off side. Mwishoni ubao utasoma Yanga 1- Alhilal 3.
Wanangu wa Jangwani tujiandae kupindua meza kibabe.
Baada ya mechi tutaurudia huu uzi.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app