[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja niwaite wabishani wako
Sapta Sapta sambo Ghazwat Sesten Zakazaka
HahahaAmiiin Insha Allah. Na hapo ndio tutawashangaza wengi.
akishambulia muda wote anapigwa vizuri tu..game saa ngapi mkuna Nazi wa msimbazi?Hawawezi kutoboa...zesco wanashambulia muda wote..hawanaga option ya kudefend wakiwa home ground...jiandaen kisaikolojia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Shogamita hiyo.Jiandaen vizuri maan uko zesco washachukua chumbaView attachment 1217629
Naiona hii game yanga anaenda kupindua matokeo ingawa wengi hawawapi nafasi ingawa naona atacheza vizuri Sana nakuwashangaza watu
Au kundi la vyura jangwaniMakundi ya nn unazungumzia hapa?? Labda kundi la wanyama pori
Mtuwache na wivu wenu Mtani.Hahaha
Alisikika BI Mwenda akisema
Hawa wanakujaga kwenye mechi zangu tu za kwao nikiwatag wanapotea huwa siwaoni na hata likes hawatoi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja niwaite wabishani wako
Sapta Sapta sambo Ghazwat Sesten Zakazaka
Subiri basi Shadeeya bana, muda si muda tutaiona hiyo timu ya wananchi na mbwembwe zake inapoishia
Ewaaaaa. πππSubiri basi Shadeeya bana, muda si muda tutaiona hiyo timu ya wananchi na mbwembwe zake inapoishia
Moyo wako wauskiaje lakini Shadeeya, maana nahisi mapigo yake yapo kasi kuliko mbio za dreamliner, hiyo ni dalili ya kutokuwa na uhakika au matumaini yoyote japo ya sareEwaaaaa. πππ
Ni wivu tu. π€£π€£π€£π€£
Tutawashangaza wengi leo ukiwepo wewe Mtani. ππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaanza huku nyuma Fackson Kapumbu, anatambaliza, kwake Kamusokooo anacontrol anamtafuta Owino, Owino anapenyeza mpenyezo maridhawa anatokea Kamusoko, Kamusoko tena..
Namna gani hapa Yanga wanapoteana, naona dimba la katikati Kamusoko amedhibiti vilivyo
Haya sasaaaaa inapigwa krosi kwa karibu kabisa na mstari wa D anatokea Jesse Were, Wereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Oooooooooooooooo Yesssssssssss..[emoji460][emoji23][emoji119]