Yanga atashinda dhidi ya zesco

Yanga atashinda dhidi ya zesco

Anaanza huku nyuma Fackson Kapumbu, anatambaliza, kwake Kamusokooo anacontrol anamtafuta Owino, Owino anapenyeza mpenyezo maridhawa anatokea Kamusoko, Kamusoko tena..

Namna gani hapa Yanga wanapoteana, naona dimba la katikati Kamusoko amedhibiti vilivyo

Haya sasaaaaa inapigwa krosi kwa karibu kabisa na mstari wa D anatokea Jesse Were, Wereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Oooooooooooooooo Yesssssssssss..[emoji460][emoji23][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ngoja niwaite wabishani wako
Sapta Sapta sambo Ghazwat Sesten Zakazaka
 
Adui muombee njaa hata kama ana nguvu.
 
Hawawezi kutoboa...zesco wanashambulia muda wote..hawanaga option ya kudefend wakiwa home ground...jiandaen kisaikolojia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
akishambulia muda wote anapigwa vizuri tu..game saa ngapi mkuna Nazi wa msimbazi?
 
Bado saa chache tu Shadeeya atakua hana kauli tena kuhusu CCL, sasa hivi magazeti yanawadanganya sana
Yanga siku zote ni timu ya Wananchi Ses.

Young_Africans_SC_(logo).png
 
Anaanza huku nyuma Fackson Kapumbu, anatambaliza, kwake Kamusokooo anacontrol anamtafuta Owino, Owino anapenyeza mpenyezo maridhawa anatokea Kamusoko, Kamusoko tena..

Namna gani hapa Yanga wanapoteana, naona dimba la katikati Kamusoko amedhibiti vilivyo

Haya sasaaaaa inapigwa krosi kwa karibu kabisa na mstari wa D anatokea Jesse Were, Wereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Oooooooooooooooo Yesssssssssss..[emoji460][emoji23][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom