demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Niko hapa napiga story na ndugu Arafat ananitaarifu Wiki ya Wananchi msimu huu wanataka ipambwe na Wazulu kutoka Kusini.
Siku ya jana walipewa mualiko rasmi hivyo wanategemea mrejesho siku ya leo.
Naona Yanga SC wameshaanza kujipembua sasa hivi. Mechi ya hadhi ya CAFCL inafanyika Wananchi Day.
Asante Eng. Hersi na timu yako nzima.
Siku ya jana walipewa mualiko rasmi hivyo wanategemea mrejesho siku ya leo.
Naona Yanga SC wameshaanza kujipembua sasa hivi. Mechi ya hadhi ya CAFCL inafanyika Wananchi Day.
Asante Eng. Hersi na timu yako nzima.