mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Wa kimataifa Yanga ya Tanzania bado wana matumaini ya kutwaa Ubingwa Kwa Vilabu Afrika. Kimahesabu Yanga ilipaswa hata isicheze mchezo uliobaki lakini ndio hivyo kelele zilikuwa nyingi sana.
Nawashauri Yanga mpira sio maneno Mpira ni taaluma. Mpira wa maneno umepitwa na wakati na mpira sio historia.
Nawashauri Yanga mpira sio maneno Mpira ni taaluma. Mpira wa maneno umepitwa na wakati na mpira sio historia.