Yanga bado uswahili na ubabaishaji unatusumbua

Sikutarajia kama Yanga ina watu wanafikiri vizuri hivi.
Mimi huwa nawaona yanga wote watupolo tu.Ila hapo umewaambia mkuu,kazi ni kwao kunyoa ama kusuka
 
Mkuu mtoa Mada unastahili uwe na blue tick you great thinker Hongera umewaza mbali
 
Utamaduni hauwezi lingana.
Hata kwenye imani tamaduni za eneo husika zipo.
 
Haji yuko bize kutoa mipasho kwa Simba, wakati Simba wao wala hawahangaiki kumjibu. Wanachofanya ni kutoa taarifa ya uzinduzi wa App mpya na taarifa ya mechi nyingine ya Pre- season.

Ndio mtajua wenzenu wapo next level. Huko mlipo wenzenu wameshatoka.
 
Muda sio mrefu tutaimba parapanda kwa uto
Wanazidiwa akili hata na timu ya Biashara na Azam fc ambao wako bize kuandaa vikosi vyao kwa kutafuta muunganiko na fitness kwa kucheza mechi za majaribio. Timu ya Yanga imekuwa kubwa jinga
 
Nilizungumza hapa sasa madhara ya kutocheza mechi nyingi za majaribio leo majibu yamepatikana. Na siku za kucheza klabu bingwa zinahesabika. haujacheza mechi hata moja ya majaribio unakuja kucheza mechi na Zanaco ambao wameshacheza mechi tisa za majaribio
 
dawa leo imetuingia vizuri mkuu
 
Nilizungumza hapa sass madhara ya kutocheza mechi nyingi za majaribio leo majibu yamepatikana. Na siku za kucheza klabu zinahesabika. haujacheza mechi hata moja ya majaribio unakuja kucheza mechi na Zanaco ambao wameshacheza mechi tisa za majaribio
Ile ya dtb kigamboni haikuwa mechi
 
Nilizungumza hapa sass madhara ya kutocheza mechi nyingi za majaribio leo majibu yamepatikana. Na siku za kucheza klabu zinahesabika. haujacheza mechi hata moja ya majaribio unakuja kucheza mechi na Zanaco ambao wameshacheza mechi tisa za majaribio
Amken amkeni. Mitambo imelipuka huku Wamepigwa tenaaaaa. Mdomo umewaponzaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…