Yanga bila Fiston Mayele haitakuwemo kwenye Top 4

Yanga bila Fiston Mayele haitakuwemo kwenye Top 4

Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .

Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4

Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
👀🙄
 
Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .

Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4

Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
 
Back
Top Bottom