Yanga bila uwanja wenu acheni nyodo, mtafungwa TU kwenye viwanja vya watu

Yanga bila uwanja wenu acheni nyodo, mtafungwa TU kwenye viwanja vya watu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Huwezi kuwa unatumia uwanja wa watu halafu unawatukana wenye uwanja wao.

Ally Kamwe ajiangalie la sivyo hatoshi Yanga.

Unatumia uwanja wa Azam lakini unadhihaki wenye uwanja ni ujinga mkubwa.
 
Hahaah tuliza hasira mkuu kufungwa ni sehemu ya mpira...

Bado Yanga Yuko poa anazidiwa point Moja tu na Simba wasiwasi wako nn?

Yanga bingwa
Fikiria una ofisa wa timu ambae hana uwanja , anatumia viwanja vya timu nyingine ambazo anazotukana na kuzisimanga. Kwanini ishindikane mwenye uwanja kukuhujumu kwa namna hii au Ile ili ushindwe? Unaemtukana anamiliki funguo za uwanja na vyumba vya kubadilisha nguo
 
Huwezi kuwa unatumia uwanja wa watu halafu unawatukana wenye uwanja wao. Ally Kamwe ajiangalie la sivyo hatoshi Yanga.

Unatumia uwanja wa Azam lakini unadhihaki wenye uwanja ni ujinga mkubwa.
Bado akili zitawakaa sawa.Huu ni mwanzo tu.Ali Kamwe alidai labda Yanga ifungwe na Mwenyezi Mungu.
 
Huwezi kuwa unatumia uwanja wa watu halafu unawatukana wenye uwanja wao. Ally Kamwe ajiangalie la sivyo hatoshi Yanga.

Unatumia uwanja wa Azam lakini unadhihaki wenye uwanja ni ujinga mkubwa.
 
Mtoa mada Bado unasafari ndefu hiyo ndo umeona ni sababu aiseee!!
kule kwetu kuna msemo unasema huwezi kwenda kulala nyumbani kwa mwanaume mnaegombania mchumba. Azam nae ni mshindani kwenye ligi anaeutaka ubingwa na ndiye mwenye funguo za uwanja na vymbani.
 
Bado akili zitawakaa sawa.Huu ni mwanzo tu.Ali Kamwe alidai labda Yanga ifungwe na Mwenyezi Mungu.
Usifurahie sana broo, Yanga hii bado ni imara sana, ila tuachane na uwanja wa Azam mazima. Simba sio wajinga kuukimbia
 
kule kwetu kuna msemo unasema huwezi kwenda kulala nyumbani kwa mwanaume mnaegombania mchumba. Azam nae ni mshindani kwenye ligi anaeutaka ubingwa na ndiye mwenye funguo za uwanja na vymbani.
Hukuona wachezaji muhim hawakuwepo nyuma ??
 
kule kwetu kuna msemo unasema huwezi kwenda kulala nyumbani kwa mwanaume mnaegombania mchumba. Azam nae ni mshindani kwenye ligi anaeutaka ubingwa na ndiye mwenye funguo za uwanja na vymbani.
Akili za kijinga.Huo msemo umeanza mwaka huu?Wacheni visingizio vya uwanja.Ujinga wenu ni kudhani kwamba hamna wa kuwafunga.Mpira hauna hivyo.Mpira ni mchezo wa makosa na anayetumia vizuri makosa ya timu nyingine ndio anayeshinda.
 
kwani na washambuliaji hawakuwepo? kima ni hivyo ilipaswa iwe 3-3 maana washambuliaji woooote walikuwepo
Bado utazungumza vizuri.Akili zitawarudia sasa mtajua football ni mchezo wa aina gani.
 
Back
Top Bottom