kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #21
Yanga kufungwa shida ni hizi hapa:
1. Wachezaji wengi muhimu kukosekana.
2. Uchovu wa wwchezaji, mechi nyingi z a ligi, CAF champion na kimataifa kwenye mataifa yao. YANGA ina wwchezaji wengi wa timu za taifa.
3. Uwanja wa adui kutumika kama uwanja wa nyumbani Na uwanja wa Azam fc. Hata Gamondi analalamikia jambo hili.
4. Timu za msimu huu ni imara
5. Kauli za msemaji wa Yanga zinasanabisha timu kufanyiwa vibaya.
1. Wachezaji wengi muhimu kukosekana.
2. Uchovu wa wwchezaji, mechi nyingi z a ligi, CAF champion na kimataifa kwenye mataifa yao. YANGA ina wwchezaji wengi wa timu za taifa.
3. Uwanja wa adui kutumika kama uwanja wa nyumbani Na uwanja wa Azam fc. Hata Gamondi analalamikia jambo hili.
4. Timu za msimu huu ni imara
5. Kauli za msemaji wa Yanga zinasanabisha timu kufanyiwa vibaya.