YANGA Bingwa: Fainali ya kombe la Shirikisho Tanzania, 25.05.2016

Asante sana Yanga hakika mmethibitisha kuwa ni wakimataifa
 
Balatanda pia anahusika....Yangaaaa...
 
Kuna wachezaji pale Azam hawastahili kuwa kwenye kikosi cha Azam. Poleni sana Ndugu zetu Lambalamba

Duh, aisee, itabidi mashabiki waingie wenyewe kucheza....
 
Mi namshukuru sana manara mana kaisaidia idara ya habari ya yanga
 
Kama shabiki na mpenzi wa Dar Young Africans leo nimewavulia kofia YANGA. Mpira walioucheza leo wamedhihirisha kuwa ni MABINGWA. Wamewachezea AZAM kama watoto wadogo. Nawashauri kuwa Oscar Joshua asiwe anaanza, awe anaingia dakika za mwishoni. Kwa kweli alipwaya kidogo. Yanga leo mmenifurahisha sana. YANGA DAIMA MBELE.
 
Yaani haya mambo mengine yanashangaza karibu miezi miwili nahangaika na jamaa yangu ni mtu wa karibu sana na mimi tumezunguka hospital zote za maana lakini wapi hali inazidi kuwa mbaya ugonjwa hauonekani basi mpaka baadhi ya ndugu zake wakahisi labda mambo ya kienyeji .Kiukweli hali ilikuwa inatisha jioni hii kuna mtaalam mmoja tukaambiwa tukamuone basi akaanza kueleza namna anavyojisikia dokta kamuuliza maswali mengi mengi jamaa anajibu vizuri tu mpaka kamuuliza kama kuna mtu anamkorofisha kama wife wake au kazini jamaa kajibu hakuna dokta kamuuliza unapenda michezo?jamaa kwa madaha kabisa kamjibu "mimi simba damu damu"wacha dokta ambadilikie"kumbe unasumbua watu ugonjwa wako unaujua"ni kabakia nashangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…