Yanga bingwa, Kaunda stadium umebomoka,ghorofa imechakaa

Yanga bingwa, Kaunda stadium umebomoka,ghorofa imechakaa

mwembemdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2016
Posts
2,282
Reaction score
1,252
Nachukua nafasi hii kutoa mawazo yangu Kwa wahusika wa Klabu ya Yanga Juu ya matukio makubwa ya Klabu hiyo kubwa hapa nchini.Klabu ya Yanga ndio Mabingwa wa soka.Klabu ya Yanga inamiliki Uwanja wa Kaunda uwanja ambao umechakaa Na umebomoka Kwa muda mrefu.Klabu ya Yanga inamiliki Jengo ambalo in Ghorofa Jengo ambako limechakaa hats ukarabati haufanyiki.Najiuliza ubingwa sawa lakini uongozi uliopo kwanini haujiusishi Na ujenzi wa uwanja Na ukarabati wa Jengo? Inatia aibu Kwa klabu bingwa ya Tanzania Bara kuwa Na uwanja Na Jengo la hali hiyo.
 
Fuatilia media ukipita nje kwa kuangalia tu jengo hutapata majibu yako, kiufupi wanasubiri barua wizarani la kuongeza eneo wabomoe jengo lote wajenge uwanja wa kisasa
 
Mambo ya yanga wewe yanakuhusu nini vp lile tamasha lenu na mtibwa leo
 
Mambo ya yanga wewe yanakuhusu nini vp lile tamasha lenu na mtibwa leo
 
Ina maana uwanja wa Kaunda umejichokea kama mzee Kaunda mwenyewe?
 
Barua ilikwisha toka Yanga klabu kubwa imejenga bondeni Manispaa Ilala ilikwishagoma kutoa Kibali
 
Viongozi walio wengi wa vilabu vya soka na vyama mbalimbali vya michezo ni wapiga dili tu! Hawana maono. Big up kwa Azam fc. Wanaendesha mambo yao kitaalam.
 
Back
Top Bottom