kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Nimeangalia mechi zote yanga atatangaza ubingwa akiwa na mechi kadhaa mkononi.
sababu timu pinzani zote ni dhaifu kwenye Nbc ligi hazina malengo wachezaji wao wamejaa ushamba.
Haiwezekani waalimu wanasoma mchezo wanauangalia lakini timu zote zinakufa kifo kinachofanana wote wameaminishwa aziz ki hakabwi wala haguswi,pacone hakabwi wala haguswi, upuuzi aibu kwa walimu wa timu zote .
Timu pinzani zimefanya sajili kukamilisha nafasi za orodha ya wachezaji tu na kuiga upuuzi wa kutambulisha wachezaji kwa mbwebwe saa nane za usiku ili hali ni vyuma chakavu hongera yanga ,hongera Hersi saidi kwa kuijenga yanga na kuifanya isiwe na mpinzani ndani na nje ya mipaka, kireno wanasema PARA BEMS!
sababu timu pinzani zote ni dhaifu kwenye Nbc ligi hazina malengo wachezaji wao wamejaa ushamba.
Haiwezekani waalimu wanasoma mchezo wanauangalia lakini timu zote zinakufa kifo kinachofanana wote wameaminishwa aziz ki hakabwi wala haguswi,pacone hakabwi wala haguswi, upuuzi aibu kwa walimu wa timu zote .
Timu pinzani zimefanya sajili kukamilisha nafasi za orodha ya wachezaji tu na kuiga upuuzi wa kutambulisha wachezaji kwa mbwebwe saa nane za usiku ili hali ni vyuma chakavu hongera yanga ,hongera Hersi saidi kwa kuijenga yanga na kuifanya isiwe na mpinzani ndani na nje ya mipaka, kireno wanasema PARA BEMS!