YANGA BWANA, CONFEDERATION CUP MLIKUWA KIMYA SASA MNACHONGA SANA

YANGA BWANA, CONFEDERATION CUP MLIKUWA KIMYA SASA MNACHONGA SANA

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,707
Ama kweli masikini akipata matako hulia mbwataaaa, Mabingwa wa kihistoria wamekwisha sahau , Mmepingwa ndani na nje Kombe la Afrika mkapoteana sio viongozi sio wanachama mpaka mashabiki kama haitoshi mpaka leo mnatembeza Bakuli , mechi 3 tu mmeamza kuchonga ligi bado mbichi kabisa na hivi hamna pesa mtakimbiana tena.Simba bado imara na sisi ndio MABINGWA WA SOKA WA NCHI HII.
 
Kwa TFF yetu usishangae yanga akapangiwa game zote achezee uwanja wa taifa
 
Ama kweli masikini akipata matako hulia mbwataaaa, Mabingwa wa kihistoria wamekwisha sahau , Mmepingwa ndani na nje Kombe la Afrika mkapoteana sio viongozi sio wanachama mpaka mashabiki kama haitoshi mpaka leo mnatembeza Bakuli , mechi 3 tu mmeamza kuchonga ligi bado mbichi kabisa na hivi hamna pesa mtakimbiana tena.Simba bado imara na sisi ndio MABINGWA WA SOKA WA NCHI HII.
Tafadhari moderator toa hapa peleka jukwaa la sport sports, tuheshimu majukwa, Hii siyo siasa.
 
Ama kweli masikini akipata matako hulia mbwataaaa, Mabingwa wa kihistoria wamekwisha sahau , Mmepingwa ndani na nje Kombe la Afrika mkapoteana sio viongozi sio wanachama mpaka mashabiki kama haitoshi mpaka leo mnatembeza Bakuli , mechi 3 tu mmeamza kuchonga ligi bado mbichi kabisa na hivi hamna pesa mtakimbiana tena.Simba bado imara na sisi ndio MABINGWA WA SOKA WA NCHI HII.
Sawa
tapatalk_1537506796520.jpeg
 
Back
Top Bottom