mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika pamoja na Yanga kuishangilia Timu ya Vita kwa nguvu zote hatimaye ule usemi wa "This is Simba " umedhihirika leo Uwanja wa Taifa kwa Vita kulala kwa Bao 2-1 mbele ya Mnyama.Yanga tulieni acheni blabla zenu Kila mtu Point 3 za nyumbani ni Zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app