YANGA BWANA ETI VITA HAFUNGIKI

YANGA BWANA ETI VITA HAFUNGIKI

mpimamstaafu

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
4,445
Reaction score
4,707
Hakika pamoja na Yanga kuishangilia Timu ya Vita kwa nguvu zote hatimaye ule usemi wa "This is Simba " umedhihirika leo Uwanja wa Taifa kwa Vita kulala kwa Bao 2-1 mbele ya Mnyama.Yanga tulieni acheni blabla zenu Kila mtu Point 3 za nyumbani ni Zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa hawana uzalendo hata kidogo. Wanatia haibu. Tulivyofungwa goli la kwanza jamaa walishangilia sana pale uwanjani. Sasa sijui wametokea geti gani! THIS IS SIMBA BROTHER.
 
Simba mfalme wa mwitu...................
 
Back
Top Bottom