Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Timu ya Wananchi Yanga imeibuka washindi wa timu bora ya wiki kwenye michuano ya CAF CHAMPION LEAGUE raundi ya Pili.
Mashabiki 23,825 walipiga kura huku mabingwa wa Tanzania Yanga wakipata asilimia 63%ya kura.Upigaji wa kura ulifanyika kwenye mtandao wa X na Facebook.
𝙒𝘼𝙉𝘼𝙉𝘾𝙃𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄
#TotalEnergiesCAFCL #CAFCL
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki 23,825 walipiga kura huku mabingwa wa Tanzania Yanga wakipata asilimia 63%ya kura.Upigaji wa kura ulifanyika kwenye mtandao wa X na Facebook.
𝙒𝘼𝙉𝘼𝙉𝘾𝙃𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄𝙄
#TotalEnergiesCAFCL #CAFCL
Sent using Jamii Forums mobile app