Yanga Digital Media acha kushambulia watu binafsi kwa maslahi ya Yanga

Yanga Digital Media acha kushambulia watu binafsi kwa maslahi ya Yanga

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
IMG_3488.jpeg


Kupangaia mtu wa mwana habari aandike nini wapi saa ngapi kuhusu Yanga hii sio sahihi, endesha mambo ki ethical usiweke emotional binafsi wewe unawakilisha taasisi unapovamia mtu ni sawa tuone kua taasisi inavamia mtu na kushinikiza isikilizwe vile inataka.

Kama mlimlipa sawa mna haki ya kumkalia kooni, lakini kama hajalipwa acha aweke vitu anavyopenda kuweka ni yeye.

Yanga iko above hizi level za kugombania kuandikwa acha kuaibisha club.
 
Priva na Manara wamepewa kazi Yanga kimakosa sana, basi tu. Priva anarumbana kila mtu mtandaoni kila muda kila saa halafu huku kwenye website ya Yanga ndio kuko hivi. Hii si ni aibu kwa timu kubwa kama Yanga. https://yangasc.africa/
 

Attachments

  • IMG_20240806_180756.jpg
    IMG_20240806_180756.jpg
    116.7 KB · Views: 5
Anajielewa huyu ndiyo maana anaandika habari zitakazompa manufaa. Hawezi kuandika habari za magoma fc maana kule wenye akili ni wawili tu
 
Nilishangazwa sana ktk hili, wanamtukana halafu wanataka kuandikwa habari zao
 
Ile sauti katakuwa na eLement za kike kike ba gubu la kike kike
 
Manara ni mropokaji.ila kwa ile kauli yake ALIKUWA SAHIHI.
 
Mtu anaandika habari za simba tu alaf ikitokea habari mbaya yanga the champions ndo anaiona shenzi
 
Back
Top Bottom