Mjinga kweli huyu.Priva na Manara wamepewa kazi Yanga kimakosa sana, basi tu. Priva anarumbana kila mtu mtandaoni kila muda kila saa halafu huku kwenye website ya Yanga ndio kuko hivi. Hii si ni aibu kwa timu kubwa kama Yanga. https://yangasc.africa/
Mjinga kweli huyu.Priva na Manara wamepewa kazi Yanga kimakosa sana, basi tu. Priva anarumbana kila mtu mtandaoni kila muda kila saa halafu huku kwenye website ya Yanga ndio kuko hivi. Hii si ni aibu kwa timu kubwa kama Yanga. https://yangasc.africa/
Wana personal bifu hao sio bure na huyo MIcky Jr
Mara nyingi upo sahihi Mkuu. Sema ndio hivyo watu hawapendi kuupokea ukweli- ukweli mchungu.Mimi huwa nasema humu naonekana nina chuki. Yanga wamejaa wajinga, hasa viongozi na baadhi ya fans
Na kule kulikothibitishwa kwamba wote ni mbumbumbu?Anajielewa huyu ndiyo maana anaandika habari zitakazompa manufaa. Hawezi kuandika habari za magoma fc maana kule wenye akili ni wawili tu