ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Dirisha dogo la usajili linakuja January
Yanga Bado tuna kikosi kizuri mno
Naomba viongozi msivunje timu Kwa kuingiza wachezaji wengi
1. Mtoe kasi ya Baleke au Msonda ili muingize kiungo mkabaji aje kumsaidie Aucho ambayo energy yake inashuka
2 Beki wa kulia wa ndani ya nchi
Yao hana mbadala naona Gamond hamuamini Kibwana japo ya kuwa beki mzuri, labda mifumo ya Gamond imegoma
Nenda pale Azam mlete Paschal Msindo au Chilambo
3 Kwa striker Bado Nina Imani kubwa na Dube, nadhani Kuna vitu anatakiwa aviboreshe ili awe Bora zaidi
4. Mkataba wa Chama unaisha mwisho wa msimu, mpenzi mkono wa kwaheri, ili muingize winger hatari
5. Kibabage nafurahia energy yake anakimbiza mno, aboreshe cross ya mwisho atakuwa beki mzuri
6. Punguza rundo la wachezaji, au watoe Kwa mkopo akina Kibwana, shekhan, Mshery Farid n.k watafue changamoto mpya hapo wataharibu vipaji vyao
Yanga Bado tuna kikosi kizuri mno
Naomba viongozi msivunje timu Kwa kuingiza wachezaji wengi
1. Mtoe kasi ya Baleke au Msonda ili muingize kiungo mkabaji aje kumsaidie Aucho ambayo energy yake inashuka
2 Beki wa kulia wa ndani ya nchi
Yao hana mbadala naona Gamond hamuamini Kibwana japo ya kuwa beki mzuri, labda mifumo ya Gamond imegoma
Nenda pale Azam mlete Paschal Msindo au Chilambo
3 Kwa striker Bado Nina Imani kubwa na Dube, nadhani Kuna vitu anatakiwa aviboreshe ili awe Bora zaidi
4. Mkataba wa Chama unaisha mwisho wa msimu, mpenzi mkono wa kwaheri, ili muingize winger hatari
5. Kibabage nafurahia energy yake anakimbiza mno, aboreshe cross ya mwisho atakuwa beki mzuri
6. Punguza rundo la wachezaji, au watoe Kwa mkopo akina Kibwana, shekhan, Mshery Farid n.k watafue changamoto mpya hapo wataharibu vipaji vyao