kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Sijawahi kuwa simba kwenye maisha yangu na haitatokea!Umeikana Simba yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuwa simba kwenye maisha yangu na haitatokea!Umeikana Simba yako
1. Mtoe kasi ya Baleke au Msonda ili muingize kiungo mkabaji aje kumsaidie Aucho ambayo energy yake inashuka
💯2 Beki wa kulia wa ndani ya nchi
Yao hana mbadala naona Gamond hamuamini Kibwana japo ya kuwa beki mzuri, labda mifumo ya Gamond imegoma
Nenda pale Azam mlete Paschal Msindo au Chilambo
💯3 Kwa striker Bado Nina Imani kubwa na Dube, nadhani Kuna vitu anatakiwa aviboreshe ili awe Bora zaidi
💯4. Mkataba wa Chama unaisha mwisho wa msimu, mpenzi mkono wa kwaheri, ili muingize winger hatari
Kibabake yuko vizuri. Weakness yake ni Cross na mguu wa kulia hauna nguvu.5. Kibabage nafurahia energy yake anakimbiza mno, aboreshe cross ya mwisho atakuwa beki mzuri
Hao wachezaji wote ni wachezaji wa ndani, huwezi kuwatoa halafu mbadala wake ni nini?6. Punguza rundo la wachezaji, au watoe Kwa mkopo akina Kibwana, shekhan, Mshery Farid n.k watafue changamoto mpya hapo wataharibu vipaji vyao
Mimi ni mangushi!We timu Gani?
Uko sahihi maeneo mengi. Hakika Khalidi Aucho na Yao Kwasi wanahitaji wachezaji mbadala wa kuwachallenge!Dirisha dogo la usajili linakuja January
Yanga Bado tuna kikosi kizuri mno
Naomba viongozi msivunje timu Kwa kuingiza wachezaji wengi
1. Mtoe kasi ya Baleke au Msonda ili muingize kiungo mkabaji aje kumsaidie Aucho ambayo energy yake inashuka
2 Beki wa kulia wa ndani ya nchi
Yao hana mbadala naona Gamond hamuamini Kibwana japo ya kuwa beki mzuri, labda mifumo ya Gamond imegoma
Nenda pale Azam mlete Paschal Msindo au Chilambo
3 Kwa striker Bado Nina Imani kubwa na Dube, nadhani Kuna vitu anatakiwa aviboreshe ili awe Bora zaidi
4. Mkataba wa Chama unaisha mwisho wa msimu, mpenzi mkono wa kwaheri, ili muingize winger hatari
5. Kibabage nafurahia energy yake anakimbiza mno, aboreshe cross ya mwisho atakuwa beki mzuri
6. Punguza rundo la wachezaji, au watoe Kwa mkopo akina Kibwana, shekhan, Mshery Farid n.k watafue changamoto mpya hapo wataharibu vipaji vyao
Huyu nae.Wala hakuna haja ya kupoteza pesa mzee nyie ni mabingwa mpaka kiama mechi zinamalizwa nje!
#. 6 mmmhhh.Dirisha dogo la usajili linakuja January
Yanga Bado tuna kikosi kizuri mno
Naomba viongozi msivunje timu Kwa kuingiza wachezaji wengi
1. Mtoe kasi ya Baleke au Msonda ili muingize kiungo mkabaji aje kumsaidie Aucho ambayo energy yake inashuka
2 Beki wa kulia wa ndani ya nchi
Yao hana mbadala naona Gamond hamuamini Kibwana japo ya kuwa beki mzuri, labda mifumo ya Gamond imegoma
Nenda pale Azam mlete Paschal Msindo au Chilambo
3 Kwa striker Bado Nina Imani kubwa na Dube, nadhani Kuna vitu anatakiwa aviboreshe ili awe Bora zaidi
4. Mkataba wa Chama unaisha mwisho wa msimu, mpenzi mkono wa kwaheri, ili muingize winger hatari
5. Kibabage nafurahia energy yake anakimbiza mno, aboreshe cross ya mwisho atakuwa beki mzuri
6. Punguza rundo la wachezaji, au watoe Kwa mkopo akina Kibwana, shekhan, Mshery Farid n.k watafue changamoto mpya hapo wataharibu vipaji vyao
Yanga inahitaji beki wa kati 1 tu! Andambwile si beki! Kama wataweza kumpata Mzawa kama Lameki lawi au yule mzanzibar beki wa mashujaa Ame ingekaa poa.Dirisha dogo la usajili linakuja January
Yanga Bado tuna kikosi kizuri mno
Naomba viongozi msivunje timu Kwa kuingiza wachezaji wengi
1. Mtoe kasi ya Baleke au Msonda ili muingize kiungo mkabaji aje kumsaidie Aucho ambayo energy yake inashuka
2 Beki wa kulia wa ndani ya nchi
Yao hana mbadala naona Gamond hamuamini Kibwana japo ya kuwa beki mzuri, labda mifumo ya Gamond imegoma
Nenda pale Azam mlete Paschal Msindo au Chilambo
3 Kwa striker Bado Nina Imani kubwa na Dube, nadhani Kuna vitu anatakiwa aviboreshe ili awe Bora zaidi
4. Mkataba wa Chama unaisha mwisho wa msimu, mpenzi mkono wa kwaheri, ili muingize winger hatari
5. Kibabage nafurahia energy yake anakimbiza mno, aboreshe cross ya mwisho atakuwa beki mzuri
6. Punguza rundo la wachezaji, au watoe Kwa mkopo akina Kibwana, shekhan, Mshery Farid n.k watafue changamoto mpya hapo wataharibu vipaji vyao
Timu mbili tu African sports na Coastal union washabiki wake sio bendera!Acha kujificha vichakani
Kuwa dhahiri kuwa wewe ni Simba
Mashabiki wa Yanga ndo Mambumbu,mbwa au manyaniKila mwana Simba ni mbumbumbu Kwa mjibu wa Rage
Ona hii takataka nayo!Wala hakuna haja ya kupoteza pesa mzee nyie ni mabingwa mpaka kiama mechi zinamalizwa nje!
Unajisikia joto!Ona hii takataka nayo!
Lucy alivyowaita nyie ni Sokwe a.k.a Manyani hukumuelewa? Manara alivyowaanbia hamna akili na mpaka leo hajatengua kauli yake ingawa bado yupo kwenu hujamuelewa bado?Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa
Kwa kibabage sidhani, Boka arejee mapema iwezekanavyo.Dirisha dogo la usajili linakuja January
Yanga Bado tuna kikosi kizuri mno
Naomba viongozi msivunje timu Kwa kuingiza wachezaji wengi
1. Mtoe kasi ya Baleke au Msonda ili muingize kiungo mkabaji aje kumsaidie Aucho ambayo energy yake inashuka
2 Beki wa kulia wa ndani ya nchi
Yao hana mbadala naona Gamond hamuamini Kibwana japo ya kuwa beki mzuri, labda mifumo ya Gamond imegoma
Nenda pale Azam mlete Paschal Msindo au Chilambo
3 Kwa striker Bado Nina Imani kubwa na Dube, nadhani Kuna vitu anatakiwa aviboreshe ili awe Bora zaidi
4. Mkataba wa Chama unaisha mwisho wa msimu, mpenzi mkono wa kwaheri, ili muingize winger hatari
5. Kibabage nafurahia energy yake anakimbiza mno, aboreshe cross ya mwisho atakuwa beki mzuri
6. Punguza rundo la wachezaji, au watoe Kwa mkopo akina Kibwana, shekhan, Mshery Farid n.k watafue changamoto mpya hapo wataharibu vipaji vyao
Acha unaa we KiparaWala hakuna haja ya kupoteza pesa mzee nyie ni mabingwa mpaka kiama mechi zinamalizwa nje!