Yanga donald ngoma mnampiga misumari?

Yanga donald ngoma mnampiga misumari?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Angekuwa hai mafisango ningewambia alivyoteseka..nasikitika wachezaji.wengi wetu awataki kufanya juhudi wanadili kupiga watu misumari yupo mmoja simba mpaka akutane na kigingi akakimbilia oman...donald.mshike mungu.sana same.to niyonzima.mshiken mungu eelimuhiyo sio mpya ipo..n mwokozi yesu mwenye kuwaokoa na kama nduguzetu waislam mkasali sana sana ..else uwanjan kuna.mambo makubwa zaidi muyaonayo uwanjani..ukipata bahatiya kutoka nje ukauliza.mchezaji aliekosa sana.magoli atakwambia.alikuwa anaona nn ama.anaona goli likowap

mola awalinde achanen.hizo busn
 
Mkuu pdidy uandishi wako huwa unaniacha hoi sana! Kuna bwana mdogo alikuwa anakuiga alikuwa anajiita smallpdidyjuniour, sijui kakimbilia wapi siku hizi
 
Back
Top Bottom