Yanga epukeni kulewa sifa na pia muepuka overconfidence kuelekewa ubingwa wa msimu huu

Yanga epukeni kulewa sifa na pia muepuka overconfidence kuelekewa ubingwa wa msimu huu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ndio ushauri wangu kwa viongozi na wachezaji wa Yanga ili tusije kujikuta tunakosa ubingwa au kutwaa ubingwa dakika za mwisho kabisa.

Sifa kwa Yanga zikiwemo sifa kwa wachezaji binafsi, ni nyingi sana(off course mnastahili), ila nawashauri zisiwafanye mlewe sifa mkawa na overcofidence ikaja ikatugharimu huko mbeleni.

Watu wa benchi la ufundi na wengine wanaohusika hakikisheni wachezaji wanawaweka sawa kiasaikolijia kuhusu hili ili kila mechi waione ni ngumu na kwamba hakuna timu rahisi na ubingwa bado.

Zaidi, Mayele sifa unazopewa leo hii, zipokee ila zitakuwa na maana zaidi kwako pale tu Yanga itapotwaa ubingwa ingawa unaweza kupata timu kubwa zaidi ya Yanga siku za mbeleni.
 
Huu ndio ushauri wangu kwa viongozi na wachezaji wa Yanga ili tusije kujikuta tunakosa ubingwa au kutwaa ubingwa dakika za mwisho kabisa.

Sifa kwa Yanga zikiwemo sifa kwa wachezaji binafsi, ni nyingi sana(off course mnastahili), ila nawashauri zisiwafanye mlewe sifa mkawa na overcofidence ikaja ikatugharimu huko mbeleni.

Watu wa benchi la ufundi na wengine wanaohusika hakikisheni wachezaji wanawake sawa kiasaikolijia kuhusu hili ili kila mechi waione ni ngumu na kwamba hakuna timu rahisi na ubingwa bado.

Zaidi, Mayele sifa unazopewa leo hii, zipokee ila zitakuwa na maana zaidi kwako pale tu Yanga itapotwaa ubingwa ingawa unaweza kupata timu kubwa zaidi ya Yanga siku za mbeleni.
Nakazia ✍️✍️✍️
Wacha mnyama akamuliwe
 
overconfidence na sifa kwa ligi ya ndani yenye timu kama mtibwa, azam etc? watakuwa wanamatatizo ya akili basi
 
overconfidence na sifa kwa ligi ya ndani yenye timu kama mtibwa, azam etc? watakuwa wanamatatizo ya akili basi
Simba wamefanya maamuzi ya maana sana kujitoa kushiriki hii ligi, wana akili sana kutoshiriki ligi ya ndani yenye timu kama Mtibwa, Azam, etc
 
Simba wamefanya maamuzi ya maana sana kujitoa kushiriki hii ligi, wana akili sana kutoshiriki ligi ya ndani yenye timu kama Mtibwa, Azam, etc
mpepigwa na mbeya city, Kagera sugar na sare nyingi ikiwamo hiyo na Polisi! Huku mmetolewa kwa aibu!
 
Huu ndio ushauri wangu kwa viongozi na wachezaji wa Yanga ili tusije kujikuta tunakosa ubingwa au kutwaa ubingwa dakika za mwisho kabisa.

Sifa kwa Yanga zikiwemo sifa kwa wachezaji binafsi, ni nyingi sana(off course mnastahili), ila nawashauri zisiwafanye mlewe sifa mkawa na overcofidence ikaja ikatugharimu huko mbeleni.

Watu wa benchi la ufundi na wengine wanaohusika hakikisheni wachezaji wanawaweka sawa kiasaikolijia kuhusu hili ili kila mechi waione ni ngumu na kwamba hakuna timu rahisi na ubingwa bado.

Zaidi, Mayele sifa unazopewa leo hii, zipokee ila zitakuwa na maana zaidi kwako pale tu Yanga itapotwaa ubingwa ingawa unaweza kupata timu kubwa zaidi ya Yanga siku za mbeleni.
Utopolo akili zenu mnazijua wenyewe. Mnazungumzia overconfidence wakati matokeo yenu mengi ni 1-0, 2-1 na mkijitahidi sana ni 2-0!! Tena zipo mchongo za kutosha tu.
 
Back
Top Bottom