Yanga FC msijidanganye ' Kiufundi ' bado hamna uwezo wa Kuifunga Simba SC katika ' Derby ' ya tarehe 30, Septemba 2018


Wewe umelewa au upo usingizini???
Hebu Tuambie Mara Ya Mwisho Yanga kuifunga Simba ilikuwa Lini?
Usije shangaa Kuwa Raisi Bado Alikuwa Kikwete.
 

Kwa Jinsi Wanavyoreply inaonesha hii Post imewauma sana!
Haya Yote Kayataka King Kibaden Kuwafanya Ndala Wazalilike.
 
Maandalizi ya kung'oa viti ndiyo haya. Kuamini au kuingia na matokeo kabla ya mechi sijui kwa ubora upi wa ajabu sana.

Kama Simba ipo juu kiufundi kuliko Mbao, kwa nini ifungwe?
 
Halafu anatokea Mtu from nowhere anawadharau Wapiga Nyeto wakati Bao Zenyewe Zinatoa Watoto Kama Hawa! Si bora uitupe tu Chooni.
Hahaha.. Hili ni janga si kwa familia tu, bali kwa taifa zima.
 
B
 
Yanga kamfunga Simba Mara nyingi...kamfunga magoli mengi zaidi,kachukuwa ubingwa Mara nyingi zaidi..sasa ubora wa Simba unatoka wapi...Yanga ndio timu kubwa zaidi TZ kama Man U England,Real Madrid Spain,Juventus Italy,Bayern Munich Germany...Toka 2009 Yanga haijawahi kufungwa NA timu kutoka nje ya mkoa wa Dar es salaam uwanja wa Taifa...vimba pasuka double strikers Tambwe NA Makambo wakose kukufunga dk 90 maweeeee
 
Mbumbumbu amfunge nani?hii ni timu kubwa baran Africa,siyo alayanzi fc hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…