Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Salaam wakuu.
Bila kuchelewesha muda kama mnavyofahamu safari ya chizi huwa ndefu lakini akirudi anarudi na makopo na takataka nyinginezo.
Nadhani wote tumeshuhudia jana hawa mbwa wa luc eymael walivyopigiwa mpira mkubwa na mafundi USM ALGER wakiongozwa na fundi BRAHIM BENZAZA na timu hiyo kutoka algeria kuibuka na ushindi wa goli 2.
Sasa kuna baadhi ya wendawazimu wameanza kujifariji kuwa hata wasipochukua kombe watapata medali nipende kuwahamisha kuwa mafanikio ya mashindano yoyote ni kuchukua ubingwa sio kuvalishwa cheni kama MBWA.
Sasa wewe usipochukua ubingwa hautokuwa tofauti gan na Geita gold alieshia hatua za awali kwa nyote hamjarudi na kombe.
NB: MAFANIKIO NI KUCHUKUA UBINGWA TU KUVALISHWA CHENI KAMA MBWA TOFAUTI NA HAPO HAKUNA TOFAUTI NA TAHIRA AMBAE ANAENDA SAFARI NDEFU ILA ANARUDI NA MAKOPO.
Bila kuchelewesha muda kama mnavyofahamu safari ya chizi huwa ndefu lakini akirudi anarudi na makopo na takataka nyinginezo.
Nadhani wote tumeshuhudia jana hawa mbwa wa luc eymael walivyopigiwa mpira mkubwa na mafundi USM ALGER wakiongozwa na fundi BRAHIM BENZAZA na timu hiyo kutoka algeria kuibuka na ushindi wa goli 2.
Sasa kuna baadhi ya wendawazimu wameanza kujifariji kuwa hata wasipochukua kombe watapata medali nipende kuwahamisha kuwa mafanikio ya mashindano yoyote ni kuchukua ubingwa sio kuvalishwa cheni kama MBWA.
Sasa wewe usipochukua ubingwa hautokuwa tofauti gan na Geita gold alieshia hatua za awali kwa nyote hamjarudi na kombe.
NB: MAFANIKIO NI KUCHUKUA UBINGWA TU KUVALISHWA CHENI KAMA MBWA TOFAUTI NA HAPO HAKUNA TOFAUTI NA TAHIRA AMBAE ANAENDA SAFARI NDEFU ILA ANARUDI NA MAKOPO.