Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Uzi wa GT tayari, karibuni Kwa michango.FUJO NA VITISHO NI NINI? Ni mara atoke Mayele aingie Starboy Mzize, mara atoke Farid aingie Morrison, mara atoke Nondo aingie Doumbia, mara atoke Mauya aingie Mudathir, mara atoke Kisinda aingie Musonda[emoji3]
YANGA NI NINI? Ni timu iliyojaa yenye Sub kila eneo mpaka Makocha! [emoji617]
View attachment 2584759
Nasikia mmeomba mechi isogezwe mbele ili mpambane kimataifa kwanza π π πMmepata vibonde vyenu..mbona hizo fujo hazikuwepo kwa Ihefu π π
Zitakua ni tetesi tuuNasikia mmeomba mechi isogezwe mbele ili mpambane kimataifa kwanza π π π
Vibonde wengine tutawapata tarehe 16 AprilMmepata vibonde vyenu..mbona hizo fujo hazikuwepo kwa Ihefu π π
Nitaacha kushabikia humu jukwaani Yanga ikimfunga Simba trh 16Vibonde wengine tutawapata tarehe 16 April
Acha utani mkuuNitaacha kushabikia humu jukwaani Yanga ikimfunga Simba trh 16
Tunaihifadhi hii usije ukajikataa tuNitaacha kushabikia humu jukwaani Yanga ikimfunga Simba trh 16
Jiandae kisaikolojia.Nitaacha kushabikia humu jukwaani Yanga ikimfunga Simba trh 16
Na hata zikiwa kweli, haitoweza kukubaliwa πZitakua ni tetesi tuu
Ngoja ni screenshot hii kauli π πNitaacha kushabikia humu jukwaani Yanga ikimfunga Simba trh 16
Screenshot rafiki unikumbusheNgoja ni screenshot hii kauli π π
Sitajikataa...Tunaihifadhi hii usije ukajikataa tu
Sawa π πScreenshot rafiki unikumbushe
Haha bye bye madame ππ½Nitaacha kushabikia humu jukwaani Yanga ikimfunga Simba trh 16