kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Masharti ya mgangaMiaka mingi katika historia ya klabu ya yanga kitu kinachoitwa rangi nyekundu kwao ni dhambi,sasa tumeshuhudia yanga wametumia jukwaa jekundu kupokelea ubingwa hilo wazee hawakuliona kama walivyogoma logo ya voda au furaha ya ubingwa uliwazidi nyekundu wakaona kijani aah kweli damu ndio uhai
hata mie nimeona rangi nyekundu zikitaradali njano na kijani
Miaka mingi katika historia ya klabu ya yanga kitu kinachoitwa rangi nyekundu kwao ni dhambi,sasa tumeshuhudia yanga wametumia jukwaa jekundu kupokelea ubingwa hilo wazee hawakuliona kama walivyogoma logo ya voda au furaha ya ubingwa uliwazidi nyekundu wakaona kijani aah kweli damu ndio uhai
Masharti ya mganga
Mkuu hata lile Kombe lilikuwa na kile kinembo chekundu ambacho kiliwafanya hawa mabwana kugomea jezi jana wameibusu Ile nembo...kaz kweli kweliMiaka mingi katika historia ya klabu ya yanga kitu kinachoitwa rangi nyekundu kwao ni dhambi,sasa tumeshuhudia yanga wametumia jukwaa jekundu kupokelea ubingwa hilo wazee hawakuliona kama walivyogoma logo ya voda au furaha ya ubingwa uliwazidi nyekundu wakaona kijani aah kweli damu ndio uhai
Manji kweli kweli ukiwa na mtu kama muro na msemaji maalum wa klabu bwana baraka mbolembole kila kitu kinawezekanaMkuu hata lile Kombe lilikuwa na kile kinembo chekundu ambacho kiliwafanya hawa mabwana kugomea jezi jana wameibusu Ile nembo...kaz kweli kweli
Mmeona na nyinyi mjisemeshe muonekane mpo? Badala ya kushughulikia matatizo yenu mtoke vipi matopeni mmebaki kuijadiri Yanga tena kwa mambo yasiyo ya msingi...kweli aliyewaloga amekufa..hayaendeleeni kuipamba yanga yanguMkuu hata lile Kombe lilikuwa na kile kinembo chekundu ambacho kiliwafanya hawa mabwana kugomea jezi jana wameibusu Ile nembo...kaz kweli kweli
Mbona Manji hakuwepo kwenye kushangilia ubingwa?[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mmeona na nyinyi mjisemeshe muonekane mpo? Badala ya kushughulikia matatizo yenu mtoke vipi matopeni mmebaki kuijadiri Yanga tena kwa mambo yasiyo ya msingi...kweli aliyewaloga amekufa..hayaendeleeni kuipamba yanga yangu
Kombe linakwenda clubuni hana haja ya kulifuata..isitoshe yupo kwenye mkakati ya michuano ya kimataifaMbona Manji hakuwepo kwenye kushangilia ubingwa?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Afadhali umetujulisha kama kuna mikakatiKombe linakwenda clubuni hana haja ya kulifuata..isitoshe yupo kwenye mkakati ya michuano ya kimataifa
WA kimataifaaaManji kweli kweli ukiwa na mtu kama muro na msemaji maalum wa klabu bwana baraka mbolembole kila kitu kinawezekana
Tuondoe kipengele cha uchaguzi manji aongoze milele?WA kimataifaaa
Thubutuuuu.........!!!Ndanda FC walikuja kwa gharama zao??
Kombe linakwenda clubuni hana haja ya kulifuata..isitoshe yupo kwenye mkakati ya michuano ya kimataifa