Yanga furaha ya ubingwa au wazee wamepitiwa?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Miaka mingi katika historia ya klabu ya yanga kitu kinachoitwa rangi nyekundu kwao ni dhambi,sasa tumeshuhudia yanga wametumia jukwaa jekundu kupokelea ubingwa hilo wazee hawakuliona kama walivyogoma logo ya voda au furaha ya ubingwa uliwazidi nyekundu wakaona kijani aah kweli damu ndio uhai
 
hata mie nimeona rangi nyekundu zikitaradali njano na kijani
 
Masharti ya mganga
hata mie nimeona rangi nyekundu zikitaradali njano na kijani
 
 
mwakani tusije valishwa jezi ya mtani tu naona mabadiliko tu
 
Mkuu hata lile Kombe lilikuwa na kile kinembo chekundu ambacho kiliwafanya hawa mabwana kugomea jezi jana wameibusu Ile nembo...kaz kweli kweli
 
Mkuu hata lile Kombe lilikuwa na kile kinembo chekundu ambacho kiliwafanya hawa mabwana kugomea jezi jana wameibusu Ile nembo...kaz kweli kweli
Manji kweli kweli ukiwa na mtu kama muro na msemaji maalum wa klabu bwana baraka mbolembole kila kitu kinawezekana
 
Mkuu hata lile Kombe lilikuwa na kile kinembo chekundu ambacho kiliwafanya hawa mabwana kugomea jezi jana wameibusu Ile nembo...kaz kweli kweli
Mmeona na nyinyi mjisemeshe muonekane mpo? Badala ya kushughulikia matatizo yenu mtoke vipi matopeni mmebaki kuijadiri Yanga tena kwa mambo yasiyo ya msingi...kweli aliyewaloga amekufa..hayaendeleeni kuipamba yanga yangu
 
Mmeona na nyinyi mjisemeshe muonekane mpo? Badala ya kushughulikia matatizo yenu mtoke vipi matopeni mmebaki kuijadiri Yanga tena kwa mambo yasiyo ya msingi...kweli aliyewaloga amekufa..hayaendeleeni kuipamba yanga yangu
Mbona Manji hakuwepo kwenye kushangilia ubingwa?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…