mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Juzi na jana nimesikia Yanga na GSM wako ktk hatua za mwisho kumtambulisha kocha msaidizi. Ni hatua nzuri kuelekea maboresho ya benchi la ufundi. Lakini umakini mkubwa unatakiwa ili yasitokee tena yale ya Mkwasa na Luc au Mkwasa na Zahera.
Club makini zote duniani zinaanza kusajili kocha mkuu, kisha yeye ndo anapendekeza kocha msaidizi. Hii inaepusha migogoro ktk benchi la ufundi. Sasa Yanga nasikia wanataka kuanza na kocha msaidizi, kisha ndo walete kocha mkuu. Kwa staili hii benchi la ufundi halitakaa litulie.
Ni wazo tu natoa kwa uongozi wa Yanga na wadhamini GSM
Club makini zote duniani zinaanza kusajili kocha mkuu, kisha yeye ndo anapendekeza kocha msaidizi. Hii inaepusha migogoro ktk benchi la ufundi. Sasa Yanga nasikia wanataka kuanza na kocha msaidizi, kisha ndo walete kocha mkuu. Kwa staili hii benchi la ufundi halitakaa litulie.
Ni wazo tu natoa kwa uongozi wa Yanga na wadhamini GSM