Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Ukikaa chini na kuwaza bila ushabiki Yanga haina mchezaji mwenye thamani ya kununuliwa na kucheza Simba labda Morison.
Lakini wote waliobaki hamna mwenye uwezo wa kucheza Simba hawana uwezo kabisa.
Ukiangalia uwezo wa kila mmoja hebu waza nani umweke benchi halafu mchezaji wa Yanga aingie.
Lakini wote waliobaki hamna mwenye uwezo wa kucheza Simba hawana uwezo kabisa.
Ukiangalia uwezo wa kila mmoja hebu waza nani umweke benchi halafu mchezaji wa Yanga aingie.